KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,517
Ngoja nikusifie kidogo basiiii,yaani INGEKUWA HIYO PICHA YA AVATAR YAKO,NINGESEMA WEWE NI TOTO ZURI SANA TENA PIPI MTI YA MACHUNGWA LAKINI NA MASHAKA SIO WEWE WEWE UTAKUWA MONICCCA NDALA NDEFU.Naona umejibu kwa kiwango chako cha juu kbsa cha ufahamu wako
ule mtongozo wangu ndio umeuvungia[emoji4]Siamini baada ya wewe kupata unavyoanza kuziba mianya aisee.Kama chama cha kijani vileee [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ASNANTE KWA MATUSI YA NGUONI,NIKAPUMULIWE NA WANAUME WENZANGU,MAANA YAKE MODS UNAWAONA PUNGUANI SAANA.Unaimba taarabu kama shoga wa magomeni, dume zima domo limetepeta emu pita kule kapuliwe na wanaume wenzio
Hahaha ha, pole wee, au nikupe ofa ya kuniona uone kama si Mimi?Ngoja nikusifie kidogo basiiii,yaani INGEKUWA HIYO PICHA YA AVATAR YAKO,NINGESEMA WEWE NI TOTO ZURI SANA TENA PIPI MTI YA MACHUNGWA LAKINI NA MASHAKA SIO WEWE WEWE UTAKUWA MONICCCA NDALA NDEFU.
Hapo nitakoma na nitakuheshimu sana tena saana na nitakuomba msamaha na hata sasa nakuomba msamaha kwa UCHOKOZI wangu ila ujue nilikua natafuta mlango wa kuingia kimaongezi nawe.Hahaha ha, pole wee, au nikupe ofa ya kuniona uone kama si Mimi?
Hahaha....wanatongoza hadi vibibi yani hatari sana...
POLE BASII MPENDWA WEE.Hakuna shida ingoje siku hiyo kama itafika
Vipi mbegu za mume wako zimeacha kukuunguza
Wewe utakuwa comedian nimekustukia unayoyaandika hapa jf yote hayana uhalisia.
BASI NAOMBA SAMAHANI JAMANI.Sina msiba mim hiyo pole yako peleka msibani
Anaingia na mabarafu kwa bedVipi mbegu za mume wako zimeacha kukuunguza
Kumbe unashindwa kupumua! Pole sikujua.Wewe Monica kuwa na staha kidogo hili jukwaa la siasa?? Ama la Hoja Mchanganyiko?? Aisee usizibie watu ridhiki zao ukija huku ni "Stress Free" Ritz na Rejao wanafahamu maana ya matumizi na majukwaa yake sio kukurupuka tuu mfano mtu unakwenda lile jukwaa la Watu wazima halafu unalalamika watu wanaweka picha za utupu ngachoka kabisa........ Jukwaa linaendana na thread ukienda chit chat full utani then unachukia. ukienda celebrity ooohh hamna kazi sasa thread zinakwendana na jukwaa bana hebu mtuache tupumue MMU full kutongozana ruksa.... ila ukinitongoza jukwaa la siasa sitakuelewa