Executivesister
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 514
- 594
Uuuwi jamani sio kwa kichambo hiki[emoji124] [emoji124] [emoji124]Wewe ulipokuja humu kutafuta mume huko mtaani kwako ulikuwa huwaoni? Uliweka tangazo hapa watu wakaja ukachagua mmoja. Ukakutangazia umepata mchumba. Ukatutangazia mahali imelipwa. Ukatutangazia na kutualika siku ya ndoa na harusi. Ukatutangazia mambo ya ndoa baada ya kuingia. Leo hii unaanza michambo!!!? Kweli maskini akipata matako ulia mbwata. Fyuuuuuuuu