PM zangu zimejaaa

kama nakuona vile ulivyojibuaa had damu ikizunguka mwilini inaonekana...wenye tabia km hizi zako ndo huwa na muonekano wa hivyo usoni.
 
Ila kiukwel kwa jins ulivyoandka apo post yako imekaa kimbeambea hiv au kama mtu usiekua na siri si kila kitu cha kuandka japo we unaona sawa sasa kama umeandka hvyo unaona sawa we siri za chumban utavujisha wew
 

Shhhhhhh taratibu pm yako itaanikwa hapa ohooo
 
ukimtania huyo hamtoongea mwaka mzima,haya mambo usichukulie utani watu kama hao wanakuaga na temper na moods za ajabu ajabu,kweli nimeamini mshenga Elli 79 ndoa ni dili
Mpwa wangu Eli79 unaniuzia kesi nyingi sana ujue, hadi my wife Little Angel alinifuata inbox akaniuliza kulikoni?
 
Last edited by a moderator:
hajahhaaaaaaa Pm mi napendaga zinazokuja na ombi la account no na namba za M-PESA
 

Hahahaa babu kawasemea wajukuu...ila babu maneno ya vijana umeyajulia wapi ...
 
ulimbukeni mbaya cna asee.ww utakuwa ndgu wa FAIZA FOX kikongwe
 
 

Shule zikifungwa huwa shida sana humu, kids become free sasa!! Utoto raha kweli. Kila la heri.
 
Nna rafiki yangu ana tabia kama yako UBISHI ila ye kashakubali kutokuolewa coz hakuna me anaependa kubishana
 
kwa mtindo huu usalama wa pm zetu upo kweli

Sidhani kama ni kwa kufiria huko alipo si atatsja ndio maana ni vizuri kuendelea kytumia PM kwa muda umzoee mtu kabla ya kutoa jina la ukweli na namba ya simu hata anuani ya unapoishi.

Ila kuna kipengele humu ambacho mtu haruhusiwi kuja kuongelea na kuweka hadharani anacho andikiana na mwingine kwenye PM. Ukiona hiyo ripoti
 
Kweli ukitaka dhoruba tibua wavulana wa jf!! Teh teh teh teeeeh! Ngoja niongeze juice na popcorn.
 
malaya wa kona bar katongozwa jf mbona tutakoma
 
Karibu jamiiforum unaonekana mgen humu plz chat at u r own risk vichaa weng
 
Mi amenikera..Hata kama tumeachana hawezi kulala na ww bana..Inauma

cc atoto

Khaaah sasa kumbe bado unanipenda!! Sasa si bora turudiane tu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…