habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Hahahaaaaaaa uwiii we mbayamalaya wa kona bar katongozwa jf mbona tutakoma
Acha hizo wewe kuna pm zangu 53 hujazijibu.....!Acha kunidanganya wewe, mie tangu nijiunge jf sijawahi kupata pm hata moja, huyu dada kajiunga jana tu pm hadi anashindwa kusoma, watu wa jf sio wema kabisa!!
Hajui ndo mwanzo wa mikosi.Jameni umetaka Mungu akupe mme, umepata hiyo mvua ya baraka iliokuja na mafuriko ya wanaume tena unawaona mabazazi sa unatakaje? Unampa Mungu mitihani na lawama za bure tu
sasa ulivyotutangazia kua unaomba upate mume ulitaka mume atoke wapi kama ulitaka atokee instagram ungaandika huko insta ,na kama ulitaka atoke mtaani kwenu ungejitangaza huko mtaani kwenu kama ulikuja kutangaza humu jf sasa ndo utuliee dawa ikuingie wanawake wengine bwana mnalalamikia ujinga ,upuuz uutangaze mwenyewe then ujishaue kua huna shida nao kwenda huko kadeal na mmeo mnawaume ila humu mnajitangaza mko single sasa ukiwa single sisi tukusaidieje kama hutaki utongozweHivi mfano ukireread unaweza ona lalamiko hapo..au its just ur negative thoughts..mbona mnapenda kukwaza watu bila sababu..this is just a social media for some refreshments nimeandika thread yangu kwenye mood nzuri,happy with a lil bit of teasing mtu anakurupuka na kuharibu mood yako kwa negative comments. .pipo get over urselves plz