PM zangu zimejaaa

PM zangu zimejaaa

Acha kunidanganya wewe, mie tangu nijiunge jf sijawahi kupata pm hata moja, huyu dada kajiunga jana tu pm hadi anashindwa kusoma, watu wa jf sio wema kabisa!!
Acha hizo wewe kuna pm zangu 53 hujazijibu.....!
 
Jameni umetaka Mungu akupe mme, umepata hiyo mvua ya baraka iliokuja na mafuriko ya wanaume tena unawaona mabazazi sa unatakaje? Unampa Mungu mitihani na lawama za bure tu
Hajui ndo mwanzo wa mikosi.
 
Kweli binadamu haridhiki... wote mlio mtumia ujumbe mmechorwa sana...
 
Hivi mfano ukireread unaweza ona lalamiko hapo..au its just ur negative thoughts..mbona mnapenda kukwaza watu bila sababu..this is just a social media for some refreshments nimeandika thread yangu kwenye mood nzuri,happy with a lil bit of teasing mtu anakurupuka na kuharibu mood yako kwa negative comments. .pipo get over urselves plz
sasa ulivyotutangazia kua unaomba upate mume ulitaka mume atoke wapi kama ulitaka atokee instagram ungaandika huko insta ,na kama ulitaka atoke mtaani kwenu ungejitangaza huko mtaani kwenu kama ulikuja kutangaza humu jf sasa ndo utuliee dawa ikuingie wanawake wengine bwana mnalalamikia ujinga ,upuuz uutangaze mwenyewe then ujishaue kua huna shida nao kwenda huko kadeal na mmeo mnawaume ila humu mnajitangaza mko single sasa ukiwa single sisi tukusaidieje kama hutaki utongozwe
 
Hahaa. Ungeongezea 'Mume mwema' kwenye hayo maombi. Ona unapata wa Jf ;D
 
Back
Top Bottom