PM zangu zimejaaa

PM zangu zimejaaa

Hivi mfano ukireread unaweza ona lalamiko hapo..au its just ur negative thoughts..mbona mnapenda kukwaza watu bila sababu..this is just a social media for some refreshments nimeandika thread yangu kwenye mood nzuri,happy with a lil bit of teasing mtu anakurupuka na kuharibu mood yako kwa negative comments. .pipo get over urselves plz
Sasa wewe ndo wataka kujiharibia mood bureee, mi nmekuuliza hii ni malalamiko au ni story sharing? Au story sharing Hujaelewa maana yake?
Btw kweli It is a social media huwezi kupangia watu what to comment otherwise thread yako uiandike afu uisave tu kwenye draft hapo hautakerwa na mtu
 
lilymashy siku nyingine wakikutokea huko pm malizana nao huko huko. Kuanzishiana thread noma sana dada
 
Last edited by a moderator:
Aiseee wana jf humu ni kiboko..yan usithubutu kusema u are single watakua wageni wako wa ghafla huko kwenye pm..yan jana nimeongea swala la kumuomba Mungu anipe mume 2016,nimepata waume wema kibao huko kwenye pm yan mtu anajiexpress hadi unabaki kucheka...ni nini kuniletea jam huko..afu wana confidence haoo 😂😂😂 hahaha....wengine kwa text tuu mnaonyesha mlivo mabaazazi kabla hata ya kuwaona...ila ngoja tuu niwatakieni wikend njema.
ANGALIZO :hii thread nimeandika nikiwa kwenye good mood,happy na utani kidogo..sasa kuna watu ni maarufu kwa kuharibu moods za watu na negative comments zao..plz ukiona huelewi pita kimya kimya coz there is nothing serious hapo.
 
Aiseee wana jf humu ni kiboko..yan usithubutu kusema u are single watakua wageni wako wa ghafla huko kwenye pm..yan jana nimeongea swala la kumuomba Mungu anipe mume 2016,nimepata waume wema kibao huko kwenye pm yan mtu anajiexpress hadi unabaki kucheka...ni nini kuniletea jam huko..afu wana confidence haoo  hahaha..anyways namba za simu mi sizitaki jaman zitunzeni tuu kwa matumizi yenu ya bdae...wengine kwa text tuu mnaonyesha mlivo mabaazazi kabla hata ya kuwaona...ila ngoja tuu niwatakieni wikend njema.
Mpaka hapa inaonyesha wewe bado sana!! HUJUI KUTUNZA SIRI, na kwa mwanamke tena wa kiafrika hii ni weaknes kubwa sana. Nawapa pole sana waliokuPM.
 
Ndo mana haolewi na mwaka 2016 utaisha ataendelea kusaga lami tuuuu!!

Hahhahahaa nakuombea mungu akuweke hai..utakua shahidi namba moja nikiolewa hata kwa kucoment au kuona thread yangu mwakani....yan umenipa mzuka wa kuzidi kukuombea kwa mungu uwe hai mwakani..yan mbona mzukaaa ngoja nipige goti sahiv maana naona kama nachelewa.
 
Aiseee wana jf humu ni kiboko..yan usithubutu kusema u are single watakua wageni wako wa ghafla huko kwenye pm..yan jana nimeongea swala la kumuomba Mungu anipe mume 2016,nimepata waume wema kibao huko kwenye pm yan mtu anajiexpress hadi unabaki kucheka...ni nini kuniletea jam huko..afu wana confidence haoo  hahaha..anyways namba za simu mi sizitaki jaman zitunzeni tuu kwa matumizi yenu ya bdae...wengine kwa text tuu mnaonyesha mlivo mabaazazi kabla hata ya kuwaona...ila ngoja tuu niwatakieni wikend njema.

Fanya kama umekwenda widow shopping angalia anaefaa baadae mtumie sms mwangalie anafaa au hafai kama hafai muangalie sencond choice yako. ikiwa wote hawafai basi undelea kutafuta atakae kufaa. Hii ni Jamiiforum kuna jamii za watu tofauti usichukulie kila kitu serious. Jana wengi ya watu akili zao zilikuwa kwenye Kilimanjaro Lager.
 
Huu mwaka umeumaliza vizuri hatimaye umepata pm
 
Back
Top Bottom