Pocket money ya Maulid Kitenge eti 1 million

Pocket money ya Maulid Kitenge eti 1 million

Kweli ukiwa huna pesa, ukiona mtu anatumia pesa zake unahisi anatumia vibaya, tutafute pesa mkuu, ili hata mtu akitoa dollars tusishtuke[emoji3]
 
Juzi kati nilikuwa naangalia kipindi cha Bartender cha Wasafi TV Maulid Kitenge akiwa mgeni. Akaulizwa anatumia sh ngapi kwa siku, eti akatoa mfukoni bulungutu la milioni moja. Jamani hizi si kufuru hizi kwa usawa huu wa Magu. Kakangu kitenge acha dharau ukizingatia una ndugu zako wazaramo kibao hawana mbele wala nyuma
nenda akuowe
 
kuna watu wanafaidi maisha..mimi wallet yangu ikiwa na pesa nyingi basi ni elfu 10 tu..heri yake huyo
 
Unadhani analipwa laki 5 kwa mwezi pale wasafi media?,ingekua hivyo asingetoka ITV kwenda e FM,na pia asingetoka e FM kwenda wasafi media,huko kote alipoenda alifata dau zuri ndo maana wanaweza kumng'oa
Kwahiyo laki 5 sio hela?
 
Juzi kati nilikuwa naangalia kipindi cha Bartender cha Wasafi TV Maulid Kitenge akiwa mgeni. Akaulizwa anatumia sh ngapi kwa siku, eti akatoa mfukoni bulungutu la milioni moja. Jamani hizi si kufuru hizi kwa usawa huu wa Magu. Kakangu kitenge acha dharau ukizingatia una ndugu zako wazaramo kibao hawana mbele wala nyuma
Dont believe anything you see on the net. Walijipanga. Ila hata hivyo one million si ni euro 400 tu.
 
Hapana mkuu,laki 5 ni pesa nzuri sana,ila kwa mtangazaji mkubwa hio haiwez kumtoa kwenye kituo chake na kuhamia kingine,namaanisha pale anaweza kua analipwa zaidi ndo maana akakubali kuhama
Kwahiyo laki 5 sio hela?
 
Anakula mil 1 kwa siku!!..kwani huwa anakula kenge au??
 
Back
Top Bottom