Pogba ndio mchezaji bora kwa sasa duniani

Pogba ndio mchezaji bora kwa sasa duniani

FORTALEZA
wewe utakuwa mchokozi maana uzi ulishafutika kabisa kwanini unaukumbushia? Wewe ni timu gani? maana ulianza na Man united kutapata point 3, sasa umeona haitoshi unaenda kufukua haya. Unajua kufungwa inauma sana? Kwani wao waliwahi kukupigia kelele pale unapokosa point 3 ?
 
mchezaj bora duniani???,tusikupeleke mbaliii, nazani coutinho,busiquet, kroos,hazard,neymar,mbape,wanacheza rugby
 
Back
Top Bottom