CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,634
- 1,001
FORTALEZA
wewe utakuwa mchokozi maana uzi ulishafutika kabisa kwanini unaukumbushia? Wewe ni timu gani? maana ulianza na Man united kutapata point 3, sasa umeona haitoshi unaenda kufukua haya. Unajua kufungwa inauma sana? Kwani wao waliwahi kukupigia kelele pale unapokosa point 3 ?
wewe utakuwa mchokozi maana uzi ulishafutika kabisa kwanini unaukumbushia? Wewe ni timu gani? maana ulianza na Man united kutapata point 3, sasa umeona haitoshi unaenda kufukua haya. Unajua kufungwa inauma sana? Kwani wao waliwahi kukupigia kelele pale unapokosa point 3 ?