CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,634
- 1,001
huyu jamaa alikuwa anamaanisha kinyumenafikiri akina Hazard na Messi watakuwa wanacheza Cricket
Nabii tito atakua kaamua kugeukia mambo ya michezo
konki mistres huyuMe hata siamini kama muandika uzi umetumia akili zako zote kuandika hv
Utakuwa umelogwa mkuu
Huyu jamaa Ronald na Mesi hawaingii kabisa.
Skills zake ni level ya zidane kipindi kile huyu ni lever ingine kabisa.
Kuna siku atauzwa hata paund Milioni 200 .