Tengua kauli yako...Mimi sio taperiPunguza kebehi na majigambo mchagga. Mpaka watu wakuite tapeli kuna kuzagaa kizembe au operation zako aidha zinafanana hivyo au umefanya hivyo wakati fulani. Mfano unaweza kusahau kulipa buku buku zinazopungua katika manunuzi dukani, katika maduka kadhaa.
Watu lazima warukie conclusion.
Umeongea ukweli kabisa, niliwahi kukutana na baadhi ya matajiri wa Machame kwa nyakati tofauti, nilijifunza mengi sana.Nimeishi kanda ya kaskazini miaka minne nilikuwa ninaishi Moshi mjini lakini nafanya kazi mkoa wa Arusha...Na hizi ndio point tatu muhimu Na moto wa gesi zinazowatofautisha watu wa kaskazini na watu wa kanda ya ziwa katika utafutaji wa pesa.
( 1)Ujuaji yaani kujifanya kujua Kila kitu, watu wa kaskazini hasa hata awe Na PhD nane kama bado hajajipata kimaisha au kiuchumi Huwa wana uwezo wa kujifanya mafara ili tu aweze kupata kitu flani, Na hii ni tofauti kwa ndugu zangu wa kanda ya ziwa akiwa hata Na diploma tu utamjua tu (Kiswanglish) kingi Na Huwa hawakubali kujishusha au kutafuta ujuzi zaidi wa mtaani kwa mtu aliemzidi kimaisha.
(2)Dharau, watu wa kanda ya kaskazini ni ngumu kukuonyesha moja kwa moja Dharau hata kama amekuzidi Kila kitu, mara nyingi wao Huwa wanatabia ya kumfanyia mtu wema au kumpa heshima mtu kama akiba ya baadae kwani hutambua muda wowote Alie chini kiuchumi anaweza kutoboa kimaisha Na yeye ikawa ndio point yake muhimu ya kupata zaidi au kutoboa zaidi kimaisha nadhani kwa wale ambao mmeishi uchagani mnaweza kutoa ushahidi juu ya hili.
(3)Ubinafsi, Kila mtanzania ni mbinafsi japo tunazidiana ubinafsi watu wa kaskazini anaweza kuwa mbinafsi lakini anabakiza point kidogo au nafasi kidogo akiamini muda wowote unaweza kuwa msaada kwake pale akipata shida kubwa au akikwama.hii ni tofauti kwa watu wa kanda ya ziwa akiamua kuwa mbinafsi ni moja kwa moja habakishi hata nafasi kidogo.
Mwizugukuru mgikuru Mimi mama yangu ni muhaya wa kamachumu Kagera Na baba yangu ni mchaga wa machame, Kilimanjaro kwa sadara..
Mtu na degree ana uza mitumba Tena yupo humble na hajimwambafyMimi ni mkanda ya ziwa umeandika ukweli kabisa. Tunamengi ya kujifunza kwa wenzetu. Jamaa wa kili wengi pia kwenye huo unyenyekevu huwa kuna kitu wanakuvizia ni pretended humbleness. Weziwezi na wadhurumati sana.
Yupo sahihi kuwa timing ya maisha wanaijua sana, in short yuko sahihi kwa asilimia kubwa hao Wachaga unaowangumzia wewe ni rare cases.Wachagga sio uniform na uchaga sio kabila ni desturi fulani kwa kundi hilo, mwandishi hajakutana na wachagga jeuri, dharau na kiburi
Kwamba wazaramo walizulumiwa 😄😄 au ni uvivu wao wa kufikiriMchaga akiwa mpole sana kwako,ujuwe huyo anakulia taming uingie kwa 18 zake akupige mazima! Kitaalamu tunasema wachaga ni wazuri wa kukujengea trust, na ukisha muaamini tu hiyo imekula kwako! Hata matapeli wengi wa viwanja na majumba kina Mzee Mushi walianza kuwa wapole kwa wazaramo kabla ya kuwadhulumu viwanja vyao!!
Alijichanganya kwa Taifa Teule 😄😄 wewe huoni JK na KIZIMKAZI wanavyoishi nao Vizuri Bado hujaelewa tuHuwajui wachaga wewe unasukumwa na chuki. Magu aliwachukia akaimbiwa parapanda.
Kwahiyo unahalalisha ubaguzi? Ndo maana hamuendelei!Wahaya ukijua lugha yao mbona utaishi kwa raha na utagundua kwamba hawa watu si wachoyo wala wabahili
Ila ukienda na kiswahili chako zakulyaaa
Muache kuua vikongwe na walemavu wa ngozi ! Utu poa na ujangili haviendani!Nimeanza kusoma comment za mwanzo hadi nikashangaa,kanda ya ziwa kuna wasukuma ambao ni wengi na ni watu poa sana,lakin mwandish alivyowaelezea huenda anazungumzia wahaya
Kwa hiyo wewe kanda yako ya ziwa ni Kwa Wahaya tu? Wacha hizo mwamba!Nimeishi kanda ya kaskazini miaka minne nilikuwa ninaishi Moshi mjini lakini nafanya kazi mkoa wa Arusha...Na hizi ndio point tatu muhimu Na moto wa gesi zinazowatofautisha watu wa kaskazini na watu wa kanda ya ziwa katika utafutaji wa pesa.
( 1)Ujuaji yaani kujifanya kujua Kila kitu, watu wa kaskazini hasa hata awe Na PhD nane kama bado hajajipata kimaisha au kiuchumi Huwa wana uwezo wa kujifanya mafara ili tu aweze kupata kitu flani, Na hii ni tofauti kwa ndugu zangu wa kanda ya ziwa akiwa hata Na diploma tu utamjua tu (Kiswanglish) kingi Na Huwa hawakubali kujishusha au kutafuta ujuzi zaidi wa mtaani kwa mtu aliemzidi kimaisha.
(2)Dharau, watu wa kanda ya kaskazini ni ngumu kukuonyesha moja kwa moja Dharau hata kama amekuzidi Kila kitu, mara nyingi wao Huwa wanatabia ya kumfanyia mtu wema au kumpa heshima mtu kama akiba ya baadae kwani hutambua muda wowote Alie chini kiuchumi anaweza kutoboa kimaisha Na yeye ikawa ndio point yake muhimu ya kupata zaidi au kutoboa zaidi kimaisha nadhani kwa wale ambao mmeishi uchagani mnaweza kutoa ushahidi juu ya hili.
(3)Ubinafsi, Kila mtanzania ni mbinafsi japo tunazidiana ubinafsi watu wa kaskazini anaweza kuwa mbinafsi lakini anabakiza point kidogo au nafasi kidogo akiamini muda wowote unaweza kuwa msaada kwake pale akipata shida kubwa au akikwama.hii ni tofauti kwa watu wa kanda ya ziwa akiamua kuwa mbinafsi ni moja kwa moja habakishi hata nafasi kidogo.
Mwizugukuru mgikuru Mimi mama yangu ni muhaya wa kamachumu Kagera Na baba yangu ni mchaga wa machame, Kilimanjaro kwa sadara..
Unafahamu kuwa forum ni mtindo uliopitwa na wakati. Hivi forum ni ngum kuanzisha kama social media zingine ? Hii si kama blog au website. Hivi ni mambo magumu kuanzisha ?Rutashobya, Rwegasira, Rweyomamu, Rwegasira, Mama Koku, Rugemarila tokeni huko marekani njoo ni huku kuna mwehu anatutafuta. Pandeni ndege mtanikuta Bukoba international Airport.
Halafu Maxence Melo hili jukwaa uliache kwa wahaya tu wengine waanzishe yakwao.
Kwa nini wakulya hampendi kuishi na wakuja ? Utasikia watu wamebakwa, au mmedhuru watumishi. Kuna jamaa angu mpaka aliamua kupiga kazi chini kisa hujuma za wakulya.kumuibia, kuharibu mali zake nasikia hata mahindi huwa mnaenda kuyafyeka kisa tu kalima mtumishi. Sehemu nyingine hawahuj7mu watumishi japo wanaweza wasiwapende.Mama yako ni mbinafs sana basi tu Baba yako anamoyo wa uvumilivu.
Ulichokisema juu ni kweli tupu watu wa Kanda ya ziwa jau sana hawapendi kuinuana (ubinafs) wanajeuri hata wakiwa na buku plus misifa.
Kimsingi Mimi mwenyewe ni Mkurya ila siku hizi nimeamua kua Mtanganyika tu, hii inakaaje?
Mbona hujauliza kwanini Tarime (Mara kwa ujumla) ndo sehem pekee penye matajiri wazawa(wazawa wanatawala uchumi)Kwa nini wakulya hampendi kuishi na wakuja ? Utasikia watu wamebakwa, au mmedhuru watumishi. Kuna jamaa angu mpaka aliamua kupiga kazi chini kisa hujuma za wakulya.kumuibia, kuharibu mali zake nasikia hata mahindi huwa mnaenda kuyafyeka kisa tu kalima mtumishi. Sehemu nyingine hawahuj7mu watumishi japo wanaweza wasiwapende.