Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Wewe ni hamnazo aiseeHasa wale matajiri wa zamani Arusha ambao hawakwenda shule.... 👍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni hamnazo aiseeHasa wale matajiri wa zamani Arusha ambao hawakwenda shule.... 👍
Watu wanatofautiana sana, ni ngumu kusema kwa mifano kadhaa uliyotajaNimeishi kanda ya kaskazini miaka minne nilikuwa ninaishi Moshi mjini lakini nafanya kazi mkoa wa Arusha...Na hizi ndio point tatu muhimu Na moto wa gesi zinazowatofautisha watu wa kaskazini na watu wa kanda ya ziwa katika utafutaji wa pesa.
( 1)Ujuaji yaani kujifanya kujua Kila kitu, watu wa kaskazini hasa hata awe Na PhD nane kama bado hajajipata kimaisha au kiuchumi Huwa wana uwezo wa kujifanya mafara ili tu aweze kupata kitu flani, Na hii ni tofauti kwa ndugu zangu wa kanda ya ziwa akiwa hata Na diploma tu utamjua tu (Kiswanglish) kingi Na Huwa hawakubali kujishusha au kutafuta ujuzi zaidi wa mtaani kwa mtu aliemzidi kimaisha.
(2)Dharau, watu wa kanda ya kaskazini ni ngumu kukuonyesha moja kwa moja Dharau hata kama amekuzidi Kila kitu, mara nyingi wao Huwa wanatabia ya kumfanyia mtu wema au kumpa heshima mtu kama akiba ya baadae kwani hutambua muda wowote Alie chini kiuchumi anaweza kutoboa kimaisha Na yeye ikawa ndio point yake muhimu ya kupata zaidi au kutoboa zaidi kimaisha nadhani kwa wale ambao mmeishi uchagani mnaweza kutoa ushahidi juu ya hili.
(3)Ubinafsi, Kila mtanzania ni mbinafsi japo tunazidiana ubinafsi watu wa kaskazini anaweza kuwa mbinafsi lakini anabakiza point kidogo au nafasi kidogo akiamini muda wowote unaweza kuwa msaada kwake pale akipata shida kubwa au akikwama.hii ni tofauti kwa watu wa kanda ya ziwa akiamua kuwa mbinafsi ni moja kwa moja habakishi hata nafasi kidogo.
Mwizugukuru mgikuru Mimi mama yangu ni muhaya wa kamachumu Kagera Na baba yangu ni mchaga wa machame, Kilimanjaro kwa sadara..
Huwajui wachaga wewe unasukumwa na chuki. Magu aliwachukia akaimbiwa parapanda.Huwajui wachagga wewe.
Mchagga Kama unamzidi kitu, ayakunyekea kwa kila Hali, hata awe mzee atakusalimia shikamoo.
Ila ni magwiji wa unafiki, kukuteta kichagga, kukuwinda, kukuchomea ni dakika sifuri na hawapendi kabisa kujulikana kabisa wamekuchomea.
Uchaggani unaweza kuchomwa hata ile mibisu ya kuchinjia nguruwe na hakuna mtu atatoa ushirikiano popote, hata upelelezi uchaggani ni mgumu mnooo.
Wachagga 98% wanafanikiwa kwa deal haram ila wewe chasaka (mtu wa porini) ukifanya watakuuza asubuhi tu, utakamatwa halafu watafurahia vibaya sana.
Mchagga muda wote anatamani asikie limekukuta Jambo baya na zito ndio furaha yake.
Uchaggani siyo sehemu ya kuishi.
Naishi Kilimanjaro huu mwaka wa 4.Huwajui wachaga wewe unasukumwa na chuki. Magu aliwachukia akaimbiwa parapanda.
Nimeanza kusoma comment za mwanzo hadi nikashangaa,kanda ya ziwa kuna wasukuma ambao ni wengi na ni watu poa sana,lakin mwandish alivyowaelezea huenda anazungumzia wahayaWe jamaa labda useme wahaya ndio wana majivuno kanda ya ziwa , wasukuma kwa mikoa ya bara ndio watu poa zaidi hakuna ...Msukumu hata umdharau fresh tu ...Watu wa kaskazini ni wajivuni sana na kupenda kuweka utambulisho wao mbele hata kama sehemu sio muhimu .
Narudi tena hakuna watu wa bara wanaweza kuwafikia wasukumu kwa ukarimu ndio maana hata matajiri wa kisukumu huko migodomi ni nadra kusikia anaitwa bilionea sasa nenda kaskazini , mtu anayenunuliwa watu bi anaitwa bilionea yaani jamaa wakiingia kweny ukumbi wanataka kujulikana kwamba wana pesa , uchawa haswa wka vijana wasiojitambua .
Nimesoma nao advance na chuo mpaka leo wale wasukuma ndio rafiki zangu tutazikana inshallah , hao kaskazini kujiona wanajua sana kuna dogo nimemtema nilitaka kumuunga kweny kazi kwa kiburi cha kishmba.
Mmoja au wawili wenye jeuri, dharau au kiburi hawakosekani, ila kwa namba yao ni non significantWachagga sio uniform na uchaga sio kabila ni desturi fulani kwa kundi hilo, mwandishi hajakutana na wachagga jeuri, dharau na kiburi
Nipo nao huku kanda ya nyonyo najionea hiki ulichoandikaNimeishi kanda ya kaskazini miaka minne nilikuwa ninaishi Moshi mjini lakini nafanya kazi mkoa wa Arusha...Na hizi ndio point tatu muhimu Na moto wa gesi zinazowatofautisha watu wa kaskazini na watu wa kanda ya ziwa katika utafutaji wa pesa.
( 1)Ujuaji yaani kujifanya kujua Kila kitu, watu wa kaskazini hasa hata awe Na PhD nane kama bado hajajipata kimaisha au kiuchumi Huwa wana uwezo wa kujifanya mafara ili tu aweze kupata kitu flani, Na hii ni tofauti kwa ndugu zangu wa kanda ya ziwa akiwa hata Na diploma tu utamjua tu (Kiswanglish) kingi Na Huwa hawakubali kujishusha au kutafuta ujuzi zaidi wa mtaani kwa mtu aliemzidi kimaisha.
(2)Dharau, watu wa kanda ya kaskazini ni ngumu kukuonyesha moja kwa moja Dharau hata kama amekuzidi Kila kitu, mara nyingi wao Huwa wanatabia ya kumfanyia mtu wema au kumpa heshima mtu kama akiba ya baadae kwani hutambua muda wowote Alie chini kiuchumi anaweza kutoboa kimaisha Na yeye ikawa ndio point yake muhimu ya kupata zaidi au kutoboa zaidi kimaisha nadhani kwa wale ambao mmeishi uchagani mnaweza kutoa ushahidi juu ya hili.
(3)Ubinafsi, Kila mtanzania ni mbinafsi japo tunazidiana ubinafsi watu wa kaskazini anaweza kuwa mbinafsi lakini anabakiza point kidogo au nafasi kidogo akiamini muda wowote unaweza kuwa msaada kwake pale akipata shida kubwa au akikwama.hii ni tofauti kwa watu wa kanda ya ziwa akiamua kuwa mbinafsi ni moja kwa moja habakishi hata nafasi kidogo.
Mwizugukuru mgikuru Mimi mama yangu ni muhaya wa kamachumu Kagera Na baba yangu ni mchaga wa machame, Kilimanjaro kwa sadara..
Acheni ukabilaRutashobya, Rwegasira, Rweyomamu, Rwegasira, Mama Koku, Rugemarila tokeni huko marekani njoo ni huku kuna mwehu anatutafuta. Pandeni ndege mtanikuta Bukoba international Airport.
Halafu Maxence Melo hili jukwaa uliache kwa wahaya tu wengine waanzishe yakwao.
Tukiwaambia mchaga anauisraeli....huwa mnabishaaaNimeishi kanda ya kaskazini miaka minne nilikuwa ninaishi Moshi mjini lakini nafanya kazi mkoa wa Arusha...Na hizi ndio point tatu muhimu Na moto wa gesi zinazowatofautisha watu wa kaskazini na watu wa kanda ya ziwa katika utafutaji wa pesa.
( 1)Ujuaji yaani kujifanya kujua Kila kitu, watu wa kaskazini hasa hata awe Na PhD nane kama bado hajajipata kimaisha au kiuchumi Huwa wana uwezo wa kujifanya mafara ili tu aweze kupata kitu flani, Na hii ni tofauti kwa ndugu zangu wa kanda ya ziwa akiwa hata Na diploma tu utamjua tu (Kiswanglish) kingi Na Huwa hawakubali kujishusha au kutafuta ujuzi zaidi wa mtaani kwa mtu aliemzidi kimaisha.
(2)Dharau, watu wa kanda ya kaskazini ni ngumu kukuonyesha moja kwa moja Dharau hata kama amekuzidi Kila kitu, mara nyingi wao Huwa wanatabia ya kumfanyia mtu wema au kumpa heshima mtu kama akiba ya baadae kwani hutambua muda wowote Alie chini kiuchumi anaweza kutoboa kimaisha Na yeye ikawa ndio point yake muhimu ya kupata zaidi au kutoboa zaidi kimaisha nadhani kwa wale ambao mmeishi uchagani mnaweza kutoa ushahidi juu ya hili.
(3)Ubinafsi, Kila mtanzania ni mbinafsi japo tunazidiana ubinafsi watu wa kaskazini anaweza kuwa mbinafsi lakini anabakiza point kidogo au nafasi kidogo akiamini muda wowote unaweza kuwa msaada kwake pale akipata shida kubwa au akikwama.hii ni tofauti kwa watu wa kanda ya ziwa akiamua kuwa mbinafsi ni moja kwa moja habakishi hata nafasi kidogo.
Mwizugukuru mgikuru Mimi mama yangu ni muhaya wa kamachumu Kagera Na baba yangu ni mchaga wa machame, Kilimanjaro kwa sadara..
We na Ni mkazkazini?Heko kwa Watu wa kaskazini 🦾🦾🦾ni Watu poa.....ni muda mwafaka wa kukabidhiwa nchi waiweke kwenye ramani ya dunia
Hawana lolote ni wanafiki sana hao watu. Wangekuwa watu poa wasinge ua vikongwe na kuoneana wivu wa maendeleo100%
Siku nikisitisha uanachama wangu TEAM KATAA NDOA, nikamuaga kabisa mwenyekiti wetu dronedrake lazima nioe usukumani.
Wasukuma kwa % kubwa ni watu poa sana wajamaa wale sijapata kuona. Hata chakula wao hupika cha 'walipo, na watakaokuja', hawapimi vyakula kama sie wengine.
Sana yani wana wivu na husda sana.Upo sahihi sana! Wasukuma wengi wana wivu na husda sana aisee
Yap! Mzaliwa wa huko, nimesomea huko & ntazikiwa hukoWe na Ni mkazkazini?
Toka hapo nenda nje ukatafute exposure bro.Yap! Mzaliwa wa huko, nimesomea huko & ntazikiwa huko