Wana Gas nyingi saaanaUjazo wa gesi wanao?
Wenzako wanapitisha chini kabisa ya kina kirefu cha bahari wakati nyie mnakata miti ovyo na uoto wa asili.Ila la Uganda kwenda Tanzania linaharibu mazingira
mtoa mada waota weyeee[emoji3][emoji3] yani ukiichukua Qatar,norway na sweden bado wote kwa pamoja awawezi kufikia japo 30% ya gesi ambayo Russia alikuwa anaipeleka UlayaPutin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana...
"The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe compressor station in Goleniow near the Polish port city of Szczecin.
About 100 kilometres (60 miles) east of Denmark and 75 kilometers north of Germany and Poland, two pipelines meet silently in the dark depths of the Baltic Sea. One is heading from Russia to Germany, the other from Norway to Poland.
mtoa mada waota weyeee[emoji3][emoji3] yani ukiichukua Qatar,norway na sweden bado wote kwa pamoja awawezi kufikia japo 30% ya gesi ambayo Russia alikuwa anaipeleka Ulaya
Alisikika jangili mmoja baada kufurushwa na dubuPutin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana...
"The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe compressor station in Goleniow near the Polish port city of Szczecin.
About 100 kilometres (60 miles) east of Denmark and 75 kilometers north of Germany and Poland, two pipelines meet silently in the dark depths of the Baltic Sea. One is heading from Russia to Germany, the other from Norway to Poland.
Itanunua gesi kwa pesa ipi? Maana bajeti za Africa zaidi ya nusu zinafadhiliwa na Beberu.Unadhani watakubali pesa yao ikanunue gesi ya Russia?Afrika itanunua gesi ya Urusi. Soko ni kubwa halafu ni cheap gas
Unajua hilo bomba linakopita mzee?Ila la Uganda kwenda Tanzania linaharibu mazingira
Embu nunueni tuoneAfrika itanunua gesi ya Urusi. Soko ni kubwa halafu ni cheap gas
Chanzo cha habari ni western media, hopeless wewe kijana huijui dunia kuliko mafia Putin,kaa kimya mziki ndio kwanza unaanzaPutin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana...
"The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe compressor station in Goleniow near the Polish port city of Szczecin.
About 100 kilometres (60 miles) east of Denmark and 75 kilometers north of Germany and Poland, two pipelines meet silently in the dark depths of the Baltic Sea. One is heading from Russia to Germany, the other from Norway to Poland.
Mdomo upo mbele kuliko ,akiliWenzako wanapitisha chini kabisa ya kina kirefu cha bahari wakati nyie mnakata miti ovyo na uoto wa asili.
Takriban kilomita 100 (maili 60) mashariki mwa Denmark na kilomita 75 kaskazini mwa Ujerumani na Poland, mabomba mawili yanakutana kimya kwenye kina cheusi cha Bahari ya Baltic. Mmoja anatoka Urusi kuelekea Ujerumani, mwingine kutoka Norway hadi Poland.Putin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana...
"The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe compressor station in Goleniow near the Polish port city of Szczecin.
About 100 kilometres (60 miles) east of Denmark and 75 kilometers north of Germany and Poland, two pipelines meet silently in the dark depths of the Baltic Sea. One is heading from Russia to Germany, the other from Norway to Poland.
Toilet paper yenyewe ya kufutia mikundu inatushinda. Maji , afya, njaa , utapia Milo, elimu . Anzia tupate uhuru , utasikia . Utawasikia wajinga Fulani wakisema nitawaletea maji , majiAfrika itanunua gesi ya Urusi. Soko ni kubwa halafu ni cheap gas
Sisi waafrica Hadi MTU wa kuongea nae tunapangiwa na wazungu sembuse kununua gesi ya Russia,hatuna ubavu wa kufanya purchasing bila kupitia vibali kutoka mataifa ya ulaya magharibiAfrika itanunua gesi ya Urusi. Soko ni kubwa halafu ni cheap gas
Kwa hiyo wanachimba bila kukata miti?Wenzako wanapitisha chini kabisa ya kina kirefu cha bahari wakati nyie mnakata miti ovyo na uoto wa asili.
Soko kwani ni magharibi tu? Jamaa anazidi kupiga pesa nyie vimbeni....huo ndo mbuyuHaijalishi, ataendelea kukosa soko na kurudi nyuma kiuchumi, anapiga pande zote, kulia na kushoto, juu na chini, sasa ameishia kukusanya wanywa gongo wakapigane.