Poland, Denmark na Norway waanza maandalizi ya bomba la gesi, kwaheri Urusi

Poland, Denmark na Norway waanza maandalizi ya bomba la gesi, kwaheri Urusi

Afrika itanunua gesi ya Urusi. Soko ni kubwa halafu ni cheap gas
Hii ni comment ya mtu asiyejua chochote kwenye nishati. Afrika inunue gesi wakaitumie kuoga? Kuna uzalishaji gani Afrika wa kufanya Russia ijenge bomba mpaka hapa. Na ni nchi zipi, maana za Kaskazini wale Waarabu hawahitaji gesi kutoka nje, Nigeria hawahitaji gesi, South Africa mbali kote uko kutokea Urusi bado hahitaji gesi. Auziwe nani sasa au Somalia. Hapa hatuzungumzii hii mitungi ya Mihan na Oryx, hii ni upuuzi hata kwenye soko la gesi duniani inawezekana haijulikani kama ipo mitungi. Tunazungumzia mitambo mikubwa ya LNG, viwanda vinavyotumia umeme wa gesi, mabomba, nyumba za Ulaya zinazohitaji gesi kipindi cha winter.

Unadhani kuna mbadala wa mteja wa hiyo gesi, China mwenyewe hawezi kununua gesi iliyokuwa inaenda Ulaya maana tiyari alikuwa ana supply ya gesi. Hawezi nunua gesi ziada kisa inapatikana, anachukua kulingana na mahitaji.
 
Hivi US hakuna energy crisis kama Europe?
Marekani anatumia mafuta mengi kwa siku
Marekani hununua mafuta mengi kila siku
Marekani huchimba mafuta ila hayamtoshelezi

Makaa ya mawe ndo usiseme
 
Putin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana...

"The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe compressor station in Goleniow near the Polish port city of Szczecin.

About 100 kilometres (60 miles) east of Denmark and 75 kilometers north of Germany and Poland, two pipelines meet silently in the dark depths of the Baltic Sea. One is heading from Russia to Germany, the other from Norway to Poland.
heading from russia to german....inamaanisha nini...gesi inatoka wapi?

kuna nchi za asia ya kati, nchi za asean, south asia kama india, pakistan, bangladesh, afghanistan etc na china na north korea bado ni soko kubwa sana kwa urusi, na tayari urusi ameshaanza kufoji regional integration maeneo hayo na juzi juzi tu walikuwa na mkutano wa pamoja nadhani ni azerbaijan..,.. Ni mapema sana kusema urusi amefeli
 
Hii ni comment ya mtu asiyejua chochote kwenye nishati. Afrika inunue gesi wakaitumie kuoga? Kuna uzalishaji gani Afrika wa kufanya Russia ijenge bomba mpaka hapa. Na ni nchi zipi, maana za Kaskazini wale Waarabu hawahitaji gesi kutoka nje, Nigeria hawahitaji gesi, South Africa mbali kote uko kutokea Urusi bado hahitaji gesi. Auziwe nani sasa au Somalia. Hapa hatuzungumzii hii mitungi ya Mihan na Oryx, hii ni upuuzi hata kwenye soko la gesi duniani inawezekana haijulikani kama ipo mitungi. Tunazungumzia mitambo mikubwa ya LNG, viwanda vinavyotumia umeme wa gesi, mabomba, nyumba za Ulaya zinazohitaji gesi kipindi cha winter.

Unadhani kuna mbadala wa mteja wa hiyo gesi, China mwenyewe hawezi kununua gesi iliyokuwa inaenda Ulaya maana tiyari alikuwa ana supply ya gesi. Hawezi nunua gesi ziada kisa inapatikana, anachukua kulingana na mahitaji.
umesababisha nimecheka kwa sauti...msamehe bure tu
 
Hii ni comment ya mtu asiyejua chochote kwenye nishati. Afrika inunue gesi wakaitumie kuoga? Kuna uzalishaji gani Afrika wa kufanya Russia ijenge bomba mpaka hapa. Na ni nchi zipi, maana za Kaskazini wale Waarabu hawahitaji gesi kutoka nje, Nigeria hawahitaji gesi, South Africa mbali kote uko kutokea Urusi bado hahitaji gesi. Auziwe nani sasa au Somalia. Hapa hatuzungumzii hii mitungi ya Mihan na Oryx, hii ni upuuzi hata kwenye soko la gesi duniani inawezekana haijulikani kama ipo mitungi. Tunazungumzia mitambo mikubwa ya LNG, viwanda vinavyotumia umeme wa gesi, mabomba, nyumba za Ulaya zinazohitaji gesi kipindi cha winter.

Unadhani kuna mbadala wa mteja wa hiyo gesi, China mwenyewe hawezi kununua gesi iliyokuwa inaenda Ulaya maana tiyari alikuwa ana supply ya gesi. Hawezi nunua gesi ziada kisa inapatikana, anachukua kulingana na mahitaji.
Mkuu T14 Armata Umesahau kuwa sisi ni dona kantri?
 
Haijalishi, ataendelea kukosa soko na kurudi nyuma kiuchumi, anapiga pande zote, kulia na kushoto, juu na chini, sasa ameishia kukusanya wanywa gongo wakapigane.
Hadi rais wenu anataka nae kua soko la mrusi...........sasa anakosaje soko??
Screenshot_20220929-125550_Samsung Internet.jpg
 
Kuna watu sijui ni ushabiki Urusi ndo nchi duniani inayoongoza kwa kuwa na gas nyingi duniani ubaya anauza cheap. Hayo mataifa hayawezi kuwa mbadala na kama wataforce bhs gas haita last muda mrefu. Qatar ndo alikua ndo wakuwasave ila imeshindikana ukifuatilia mijadala huko twitter karibu 95% ya Germans wanataka nchi yao ikae mezani Na Russia ili wafanye kurepair hizo streams gas iendelee kuflow so maamuzi wanayo wenyewe EU hasahasa Germany.

China alishasema gas yote iliyokua inakwenda EU iende kwake, Japan sahv katulia ananunua gas ya Mrussi, Iran wameingia dili na Russia la gas, juzi hapa afghanistan nao wamesaini dili. Saud Arabia nao wananunua oil & gas kutoka Urussi.

Russia hategemei soko la EU kama mnavodhani alishasema anatafuta wateja wapya hasa ni Asia anaeumia ni EU sio Russia.

Hizo Nchi ulizotaja sidhani wanafikia hata robo ya uzalishaji wa Russia. Rais wako anataka kununua mafuta Urussi au huna habari?[emoji23]
 
Takriban kilomita 100 (maili 60) mashariki mwa Denmark na kilomita 75 kaskazini mwa Ujerumani na Poland, mabomba mawili yanakutana kimya kwenye kina cheusi cha Bahari ya Baltic. Mmoja anatoka Urusi kuelekea Ujerumani, mwingine kutoka Norway hadi Poland.




UMEELEWA NINI?

Huyo wa kutokea Urusi ndio tunamuaga kiulaini hivi....
 
heading from russia to german....inamaanisha nini...gesi inatoka wapi?

kuna nchi za asia ya kati, nchi za asean, south asia kama india, pakistan, bangladesh, afghanistan etc na china na north korea bado ni soko kubwa sana kwa urusi, na tayari urusi ameshaanza kufoji regional integration maeneo hayo na juzi juzi tu walikuwa na mkutano wa pamoja nadhani ni azerbaijan..,.. Ni mapema sana kusema urusi amefeli

Hii ramani itakuelimisha kitu, namna Mrusi anategemea sana Magharibi kuliko hao maskini unaoshobokea hapo

main-qimg-1d9e31a41c25cf017e721977bcf21dd6
 
Hiyo miundombinu itahujumiwa endapo ikionekana ni kitisho kamili kwa utawala wa Moscow
 
China hana jeuri ya kumfaidi Putin kama ilivyokua kwa magharibi, Putin ameingia cha kike...
Endeleeni na ndoto zenu............hata hao tu ulaya wenzao kuna baadhi wanawagomea.....soko bado ni kubwa sana na mafuta na gesi bado vinahitajika saana..........acha awashushie gharama ya uzalishaji mchina na muhindi furaha kwetu sie
 
Hii ni comment ya mtu asiyejua chochote kwenye nishati. Afrika inunue gesi wakaitumie kuoga? Kuna uzalishaji gani Afrika wa kufanya Russia ijenge bomba mpaka hapa. Na ni nchi zipi, maana za Kaskazini wale Waarabu hawahitaji gesi kutoka nje, Nigeria hawahitaji gesi, South Africa mbali kote uko kutokea Urusi bado hahitaji gesi. Auziwe nani sasa au Somalia. Hapa hatuzungumzii hii mitungi ya Mihan na Oryx, hii ni upuuzi hata kwenye soko la gesi duniani inawezekana haijulikani kama ipo mitungi. Tunazungumzia mitambo mikubwa ya LNG, viwanda vinavyotumia umeme wa gesi, mabomba, nyumba za Ulaya zinazohitaji gesi kipindi cha winter.

Unadhani kuna mbadala wa mteja wa hiyo gesi, China mwenyewe hawezi kununua gesi iliyokuwa inaenda Ulaya maana tiyari alikuwa ana supply ya gesi. Hawezi nunua gesi ziada kisa inapatikana, anachukua kulingana na mahitaji.
Hahahaha....eti wakaitumie kuoga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF kuna vituko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Marekani anatumia mafuta mengi kwa siku
Marekani hununua mafuta mengi kila siku
Marekani huchimba mafuta ila hayamtoshelezi

Makaa ya mawe ndo usiseme
Jeshi la Marekani linatumia mafuta mengi zaidi hata kuzidi baadhi ya nchi kama Peru na Portugal. (Zaidi ya mapipa 250,000 Kwa siku)

Kwahiyo jeshi la Marekani linatumia mafuta mengi kushinda hata ambayo Tanzania tunatumia kwa siku.
 
heading from russia to german....inamaanisha nini...gesi inatoka wapi?

kuna nchi za asia ya kati, nchi za asean, south asia kama india, pakistan, bangladesh, afghanistan etc na china na north korea bado ni soko kubwa sana kwa urusi, na tayari urusi ameshaanza kufoji regional integration maeneo hayo na juzi juzi tu walikuwa na mkutano wa pamoja nadhani ni azerbaijan..,.. Ni mapema sana kusema urusi amefeli

Hizo ni story tu za vijiweni au watu wasiofatilia mambo.

Mwaka Jana pekee Urusi iliuza Gas & mafuta yenye thamani ya $400 billioni kwa Europe.

Mwaka Jana Europe iliagiza Gas ujazo wa zaidi ya 150 bcm,wakati huohuo China ilinunua 17bcm tu. Hiyo nchi nyingine ulizozitaja hakuna maviwanda makubwa hivyo hata matumizi yake sio makubwa hawawezi kucover soko la Europe hata siku moja.

Kingine mikataba ya Gas mara nyingi inakua ni ya muda mrefu hivyo si rahisi kwa nchi kuanza kununua haraka haraka Gas toka Urusi.

Tatu,je hizo nchi ina miundombinu za kupokea hiyo Gas?! Kumbuka Russia ilijenga pipelines kwenda Europe ambazo zilijengwa kwa muda mrefu,sababu ya usafirishaji wa pipelines ni wa uhakika na Bei nafuu ndio maana Gas ya Russia ilikua inauzwa cheap Europe. Sasa hizo nchi nyingine unakuta zipo mbali na Russia,mpaka waanze kujenga pipelines sio Leo wala kesho,wakisema wachakate hiyo Gas wauze kama LNG je hizo nchi zina miundombinu (LNG terminals) za kuweza hifadhi hiyo Gas. Kumbuka hizi terminal kuzijenga ni gharama na zinachukua muda mrefu (miaka 3-5).
 
Back
Top Bottom