Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Tujipe muda kabla ya anguko kubwa la uchumi Ulaya, bidhaa karibu zote za vviwandani huko Ulaya vinategemea gesi ya urusi kuviendesha , sasa urusi kaona isiwe shidaMatokeo yake ni Russia kukosa hela, au atakula vita?!!
Nationalist hawa hawa wa Leo, waliwaua watu wa poland.Na wewe upo Akili za Putin 1938 .Hii ni 20s new generation hamna vita ni ushamba tu wa Putin .Poland ni vijana Sasa Huyo rais wa ukraine 44 years old mtoto mdogo tu anamtoa jasho Putin .Putin na majeshi yake Huyo Zellensky anamchezea Putin mchezo wa catch me if you can .Wazee wa vita hata USA wapo hoi Zellensky anawaambia lete hiki wanapeleka .Na vijana wanakumbilia ukraine 🇺🇦 kupigana
Ulaya na dunia itaumia, ila muda huo Russia itakuwa hoi bin taabani.Tujipe muda kabla ya anguko kubwa la uchumi Ulaya, bidhaa karibu zote za vviwandani huko Ulaya vinategemea gesi ya urusi kuviendesha , sasa urusi kaona isiwe shida
Poland wanazo za Russia. Ambazo Ukraine wanajua kuzipilot.Sema Poland ikasema itatoa ndege ila zirukie kutokea Ujerumani kwenye base ya US. 😂Again ndege ya USA ya jeshi na Israel haiwezi kurushwa na taifa nyingine .Ni Sawasawa ni kupeleka tesla Sasa Hivi endesha .Ndege ya USA ikipelekwa ukraine lazima uwe na general pilot it means ww111
Zilikwenda Russia. Hata mabomu ya nuclear yalirudi Russia.Hivi ndege za kivita za Ukraine zilienda wapi
Ila habari nzuri iliyopo sasa ni kuwa Zelensky kakubali kuongea kuhusu yale majimbo ya east kuwa huru na pia kuvuta wazo lake la kujiunga na NATO. Hope tunaelekea mwisho wa vita.Kwa EU hawawezi kufanya maamuzi hayo kwa haraka hivyo
So they need time ila by the end of 2022 wamesema watapunguza utegemeezi wao kwa mafuta na gasi za russia
Ukisoma statement, Biden amesema nchi zingine zitaendelea sababu hazina mbadalaNimetoa mfano tu.Sanctions pia. Jana US na UK wamesitisha kununua mafuta na gas Russia. Wao wanategemea kidogo sana ukilinganisha na jinsi EU wanavyotegemea Gas na mafuta kwa Russia. Ujerumani peke yao wanategemea gas ya Russia kwa asilimia 40.Sasa US kawaomba EU nao wafanye the same EU wakiingia mkenge what the next ?Viwanda vitafanya vipi kazi ?Kuna nchi zinategemea gas ya Russia kwa almost asilimia 100.US na UK wana nia mbaya kwa nchi hizi.
In the long run itakuwa ZimbabweIn a very short run Urusi itaathirika sana Kiuchumi, na hata kisiasa kwa sababu ya hii Vita..
Marekani imeikatalia Poland kupeleka msaada wa ndegevita (MiG29 fighter jets) Ukraine kupitia base ya kijeshi ya Marekani iliyopo Ujerumani. Marekani imekataa ofa hiyo ya Poland kwa kuogopa Putin atashambulia nchi za NATO zitazohusika.
Kila mmoja aogopa kumfunga kengele Paka. Ingawa walijisemesha kuwa ati watapeleka msaada wa ndegevita
========
View attachment 2144165
Kumbukizi: Juzi kati Marekani ilipojisemesha kuwa nchi za NATO zinaruhusiwa kupeka ndegevita Ukraine
View attachment 2144174
Duniani wapumbavu hawatakuja kwishaHapo Putin anajazwa ili aendelee kufirisiwa. Marekani ni mjanja sana, anataka vita isiishe mapema ili mrusi afirisike.
Malizia kabisa wapumbavu kama Putin na genge lake.Duniani wapumbavu hawatakuja kwisha
Vita lengo sio kuharibu maisha ya binadamu, yeyote apiganae vita tamaa yake ni kuona matunda mema wakati ujao.Yaan hawa watu wanawachukulia simple marekani, hapo kuna game zinachezwa tusubirini
Kwa jinsi hii vita ilivyoanza nani wote tuliamini kwa kasi aliyokua nayo mrusi ni zaidi ya wiki mbili lakin hadi leo kashindwa kuichukua kiev
Hapo mimi naona kuna upinzani wa kimkakat na uongo pia ila dhumuni ni kumnyamazisha mrusi
Alaf unafikiri ni kweli poland kumkatalia US wakati wote ni member wa Nato na katiba yao ipo wazi kua ukimgusa mmoja umewagusa wanachama wote
Huwezi kuwa shujaa kwa 'kushikiwa akili' kuitumbukiza nchi katika uharibifu kama huu unaofanyika.Kwahiyo ungekua ni ww ungefanya kama putin anavyotaka
Wakat na ww ni nchi huru
Kama ndio ww hufai kua kiongoz...
Halafu hapo anasema hayupo vitani yupo kwenye operation ya kijeshi, sasa jiulize akitangaza vita je itakuwaje.Haya yalikuwa ni maneno ya Marekani kutaka kumwingiza choo cha kike Poland! Hapa Marekani anasema nchi za NATO zinaruhusiwa kupeleka ndege zake Ukraine.
Lakini Poland alivyoshtukia mtego huo akamwambia Marekani sawa, mimi nikuletee hizo ndege halafu wewe uzipeleke huko Ukraine!! Marekani kuona hivyo akala nduki!!!! Ila ni AIBU!! Hakuna tena nchi ya NATO itakayoiamini Marekani kivile!!
Utasukumiaje mzigo kwa mwenzako ambao wewe hauna u8bavu wa kuubeba?? Tusidanganyane, Putin anatisha!! Fikiria anapigana vita huku kafungwa mikono na miguu ya kiuchumi karibuni nyote!!!! Hakuna nchi inayoweza kuhimili hali hiyo!!!
Ila wee jamaa !!! [emoji1][emoji1][emoji1]Hapo Putin anajazwa ili aendelee kufirisiwa. Marekani ni mjanja sana, anataka vita isiishe mapema ili mrusi afirisike.