Poland imeshtuka kuingizwa mtegoni na Marekani Vita ya Urusi na Ukraine

Poland imeshtuka kuingizwa mtegoni na Marekani Vita ya Urusi na Ukraine

Na wewe upo Akili za Putin 1938 .Hii ni 20s new generation hamna vita ni ushamba tu wa Putin .Poland ni vijana Sasa Huyo rais wa ukraine 44 years old mtoto mdogo tu anamtoa jasho Putin .Putin na majeshi yake Huyo Zellensky anamchezea Putin mchezo wa catch me if you can .Wazee wa vita hata USA wapo hoi Zellensky anawaambia lete hiki wanapeleka .Na vijana wanakumbilia ukraine 🇺🇦 kupigana
Nationalist hawa hawa wa Leo, waliwaua watu wa poland.
Kwa sera zao za "integral nationalism", kwamba Ukraine for ukranians.
Watu wa Poland watakuwa wapuuzi wakisahau "Progroms" za wafuasi wa stepan Bandera juu yao.
 
Tujipe muda kabla ya anguko kubwa la uchumi Ulaya, bidhaa karibu zote za vviwandani huko Ulaya vinategemea gesi ya urusi kuviendesha , sasa urusi kaona isiwe shida
Ulaya na dunia itaumia, ila muda huo Russia itakuwa hoi bin taabani.
 
Again ndege ya USA ya jeshi na Israel haiwezi kurushwa na taifa nyingine .Ni Sawasawa ni kupeleka tesla Sasa Hivi endesha .Ndege ya USA ikipelekwa ukraine lazima uwe na general pilot it means ww111
Poland wanazo za Russia. Ambazo Ukraine wanajua kuzipilot.Sema Poland ikasema itatoa ndege ila zirukie kutokea Ujerumani kwenye base ya US. 😂
 
Kwa EU hawawezi kufanya maamuzi hayo kwa haraka hivyo
So they need time ila by the end of 2022 wamesema watapunguza utegemeezi wao kwa mafuta na gasi za russia
Ila habari nzuri iliyopo sasa ni kuwa Zelensky kakubali kuongea kuhusu yale majimbo ya east kuwa huru na pia kuvuta wazo lake la kujiunga na NATO. Hope tunaelekea mwisho wa vita.
 
Nimetoa mfano tu.Sanctions pia. Jana US na UK wamesitisha kununua mafuta na gas Russia. Wao wanategemea kidogo sana ukilinganisha na jinsi EU wanavyotegemea Gas na mafuta kwa Russia. Ujerumani peke yao wanategemea gas ya Russia kwa asilimia 40.Sasa US kawaomba EU nao wafanye the same EU wakiingia mkenge what the next ?Viwanda vitafanya vipi kazi ?Kuna nchi zinategemea gas ya Russia kwa almost asilimia 100.US na UK wana nia mbaya kwa nchi hizi.
Ukisoma statement, Biden amesema nchi zingine zitaendelea sababu hazina mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hii vita sio ya kushabikia hata kwa sekunde moja. Yaani ilipofikia inahitaji mwendawazimu moja tu kuanzisha 3rd world war na wote tutaumia hakika.
 
Marekani imeikatalia Poland kupeleka msaada wa ndegevita (MiG29 fighter jets) Ukraine kupitia base ya kijeshi ya Marekani iliyopo Ujerumani. Marekani imekataa ofa hiyo ya Poland kwa kuogopa Putin atashambulia nchi za NATO zitazohusika.

Kila mmoja aogopa kumfunga kengele Paka. Ingawa walijisemesha kuwa ati watapeleka msaada wa ndegevita

========

View attachment 2144165

Kumbukizi: Juzi kati Marekani ilipojisemesha kuwa nchi za NATO zinaruhusiwa kupeka ndegevita Ukraine

View attachment 2144174

Hii ndio taarifa sahihi
 
Yaan hawa watu wanawachukulia simple marekani, hapo kuna game zinachezwa tusubirini

Kwa jinsi hii vita ilivyoanza nani wote tuliamini kwa kasi aliyokua nayo mrusi ni zaidi ya wiki mbili lakin hadi leo kashindwa kuichukua kiev

Hapo mimi naona kuna upinzani wa kimkakat na uongo pia ila dhumuni ni kumnyamazisha mrusi

Alaf unafikiri ni kweli poland kumkatalia US wakati wote ni member wa Nato na katiba yao ipo wazi kua ukimgusa mmoja umewagusa wanachama wote
Vita lengo sio kuharibu maisha ya binadamu, yeyote apiganae vita tamaa yake ni kuona matunda mema wakati ujao.
Mrussi anahitaji hakikisho na hakikisho linapatikana kwa documentation, hivi vikao wanavyovifanya ndivyo vinavyobeba hatima ya vita.
 
Kwahiyo ungekua ni ww ungefanya kama putin anavyotaka
Wakat na ww ni nchi huru
Kama ndio ww hufai kua kiongoz...
Huwezi kuwa shujaa kwa 'kushikiwa akili' kuitumbukiza nchi katika uharibifu kama huu unaofanyika.

Hakuna Chuki iliyofanyakazi mbele ya majadiliano.

Kwahiyo ungelikuwa wewe chaguo lako pekee lingelikuwa ni kupigana?

Kwanini aende kwenye meza ya majadiliano baada ya kuharibu nchi yake?



Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Marekani ni kama yule rafiki anayeongea sana alafu kikitokea cha kutokea anakuweka mbele na mambo yakiharibika anakuruka na kupotea ghafla.
Kuna siku nilisema dunia nzima inamuogopa putin ila kuna watu wanapinga kishabiki.
 
Haya yalikuwa ni maneno ya Marekani kutaka kumwingiza choo cha kike Poland! Hapa Marekani anasema nchi za NATO zinaruhusiwa kupeleka ndege zake Ukraine.

Lakini Poland alivyoshtukia mtego huo akamwambia Marekani sawa, mimi nikuletee hizo ndege halafu wewe uzipeleke huko Ukraine!! Marekani kuona hivyo akala nduki!!!! Ila ni AIBU!! Hakuna tena nchi ya NATO itakayoiamini Marekani kivile!!

Utasukumiaje mzigo kwa mwenzako ambao wewe hauna u8bavu wa kuubeba?? Tusidanganyane, Putin anatisha!! Fikiria anapigana vita huku kafungwa mikono na miguu ya kiuchumi karibuni nyote!!!! Hakuna nchi inayoweza kuhimili hali hiyo!!!
Halafu hapo anasema hayupo vitani yupo kwenye operation ya kijeshi, sasa jiulize akitangaza vita je itakuwaje.
 
Hapo Putin anajazwa ili aendelee kufirisiwa. Marekani ni mjanja sana, anataka vita isiishe mapema ili mrusi afirisike.
Ila wee jamaa !!! [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom