Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Nimeandika wapi "kiuchumi urusi ipo juu ya marekani"? We mchele mchele nini?Khe! Kumbe kiuchumi pia Russia yuko juu ya US[emoji2][emoji2][emoji2] warusi Koko buana!![emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeandika wapi "kiuchumi urusi ipo juu ya marekani"? We mchele mchele nini?Khe! Kumbe kiuchumi pia Russia yuko juu ya US[emoji2][emoji2][emoji2] warusi Koko buana!![emoji1787][emoji1787]
Soma uelewe. Amekuambia urusi ndio nchi tajiri duniani kwenye natural resources na sio vinginevyokwa hiyo nisikilize propaganda zako!!
Khe! Kumbe kiuchumi pia Russia yuko juu ya US[emoji2][emoji2][emoji2] warusi Koko buana!![emoji1787][emoji1787]
Soma comment aliyoniqoute utaelewa.Soma uelewe. Amekuambia urusi ndio nchi tajiri duniani kwenye natural resources na sio vinginevyo
Lakini inazidiwa uchumi na Japan.Soma uelewe. Amekuambia urusi ndio nchi tajiri duniani kwenye natural resources na sio vinginevyo
Bado mdogo kwenye dunia ya mjemendari ya ujasusi.. rais wa Ukrain sio wa anga hizi... Just tulia uwone kitakacho tokea mrusi atajuta kuanza vita...Zelensky kichwa maji, ameisambaratisha nchi yake kwa kutafuta sifa za kijinga.
Hata ikitokea Warusi wamerudi nyuma uharibifu uliyofanyika ni mkubwa mno.
Serikali yake itakuwa na jukumu la kujenga tena miundombinu iliyoharibika.
'Nchi imejidumaza'.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Taarifa ya Marekani ipo wazi, wanaogopa kupeleka ndege kwa kuhofia Putin kushambulia NATO.Hii habari haijakamilika, NATO na US walikuwa wanampango wa kupeleka ndege vita kuisaidia Ukraine. Kabla hata mashauriano ya ndani hayakakamilika Poland wakasema wako tayari kukabidhi hizi kwa US ili zipelekwe Ukraine kwa sharti la Marekani kupeleka ndege nyingine Poland. Wamarekani wanasita kupeleka hizi ndege kwa sababu kama mbili hivi, kwanza itabidi waipatie Poland ndege nyingine, ila pia US ana wasiwasi hizi ndege zitahitaji mafunzo kwani ni upgraded version lakini pia Ukraine hana total control hivyo zinaweza angushwa na Urusi muda wowote.
Kama mimi ninavyomchimba choo mama yakoOna Sasa hata kwa resources Marekani anavyompumulia kisogoni Russia kama vile Mimi ninavyompumuliaga mama yako[emoji2][emoji2][emoji2], wakati kirasilimali Russia na US wanachuana namba moja na mbili, kiuchumi Russia kaachwa mbali sana na katikati Kuna nchi Tisa nazo zimempiga fimbo.
Hapana, ni kama Mimi ninavyowashikishaga ukuta bila mafuta wewe, baba yako na mama yako, hiyo kitaalamu inaitwa 4somes [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama mimi ninavyomchimba choo mama yako
Hilo zezeta mpaka likuelewe sijui lini [emoji848][emoji28]Usisikilize propaganda za magharibi. Urusi ndo nchi tajiri zaidi duniani kwenye natural resources- Mafuta, gas,dhahabu,almas, mbao nk... Kwanini wasiwe matajiri. Marekani na propaganda zake hana uchumi wa china. Ana madeni zaidi ya trillion 65 dollars
Bora utumie mafuta kuwatafuna maana wakikuchenjia, mafuta yatakuwepoHapana, ni kama Mimi ninavyowashikishaga ukuta bila mafuta wewe, baba yako na mama yako, hiyo kitaalamu inaitwa 4somes [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zelensky kichwa maji, ameisambaratisha nchi yake kwa kutafuta sifa za kijinga.
Hata ikitokea Warusi wamerudi nyuma uharibifu uliyofanyika ni mkubwa mno.
Serikali yake itakuwa na jukumu la kujenga tena miundombinu iliyoharibika.
'Nchi imejidumaza'.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Sishabikii vita kwa namna yoyote ile. Kama Zelensky anaintelijensia kali ambayo unamsifia hapa nchi yake isingeharibika kiasi hiki.Bado mdogo kwenye dunia ya mjemendari ya ujasusi.. rais wa Ukrain sio wa anga hizi... Just tulia uwone kitakacho tokea mrusi atajuta kuanza vita...
Nishawavunja dick zao, yaani ni nyoka niliowatolea meno, kwa hiyo najitafunia kavukavu bila shaka.Bora utumie mafuta kuwatafuna maana wakikuchenjia, mafuta yatakuwepo
Zelensky atapata misaada toka West ataijenga nchi yake, miaka mitano ijayo itarudi kama awali.Zelensky kichwa maji, ameisambaratisha nchi yake kwa kutafuta sifa za kijinga.
Hata ikitokea Warusi wamerudi nyuma uharibifu uliyofanyika ni mkubwa mno.
Serikali yake itakuwa na jukumu la kujenga tena miundombinu iliyoharibika.
'Nchi imejidumaza'.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Kama watamsaidia wamechelewa, maisha ya watu hayatengenezeki mkuu.Zelensky atapata misaada toka West ataijenga nchi yake, miaka mitano ijayo itarudi kama awali.
Vikwazo vya Russia havitolewi leo au kesho. Watanyooshwa mpaka wafilisike.
Haya yalikuwa ni maneno ya Marekani kutaka kumwingiza choo cha kike Poland! Hapa Marekani anasema nchi za NATO zinaruhusiwa kupeleka ndege zake Ukraine.
Lakini Poland alivyoshtukia mtego huo akamwambia Marekani sawa, mimi nikuletee hizo ndege halafu wewe uzipeleke huko Ukraine!! Marekani kuona hivyo akala nduki!!!! Ila ni AIBU!! Hakuna tena nchi ya NATO itakayoiamini Marekani kivile!!
Utasukumiaje mzigo kwa mwenzako ambao wewe hauna u8bavu wa kuubeba?? Tusidanganyane, Putin anatisha!! Fikiria anapigana vita huku kafungwa mikono na miguu ya kiuchumi karibuni nyote!!!! Hakuna nchi inayoweza kuhimili hali hiyo!!!
Wachambuzi wa kiuchumi wanasema hasara kwa Ukraine hadi sasa inaweza kuchukua 20-40yrs ili nchi irudi kwenye reli. Watu hawajui tu jinsi Russia alivyoiharibu Ukraine.Sishabikii vita kwa namna yoyote ile. Kama Zelensky anaintelijensia kali ambayo unamsifia hapa nchi yake isingeharibika kiasi hiki.
Ujasusi wake ni wa hovyo, hata kama Urusi akishindwa, maafa na uharibifu uliotokea Ukraine bado utakuwa palepale.
Ujasusi wake anaoufanya kwa kuangamiza nchi yake kwanza unafaida gani kwa wananchi wake?
Mnashabikia mambo ya hovyo wakati ninyi mmetulia nchini kwenu hakuna maafa wala uharibifu kama Ukraine.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app