Poland na Ukraine waungana na Nchi za Afrika Kupingana na Waraka wa Papa kuhusu Kubariki Ushoga Kanisani

Black and white fallacy and false dichotomy..ni sawa nikuambie wewe hapo ni either gigy au amber rutty... 😂Huna logic mkuu
Logic za kazi gani mkuu msimamo wangu unanitosha nyie endeleeni kutatuana malinda na logic zenu😀
 
Kauli ikitoka Roma ni sheria ya kanisa kwa waumini wote wa catholic ✝️ sasa wewe mkatoliki wa kijenge unapata wapi nguvu ya kuipinga? Wote waliojaribu kupinga kauli za wanayemuita muwakilishi wa mungu waliishia kupotezwa katika uso wa dunia.
 
Poland imewahi kutoa papa, kardinali wa krakow, karol wojtyla a,k.a papa yohana paulo wa pili/pope john paul 2, Vipi huko argentina wamekubali huo waraka wa raia wao huko vatican?
 
Halafu wakatoliki wa kwampalange wanasema hatujamwelewa papaa
Hao ni wafia dini wazee wa ufafanuzi. Hawataki kukubali kwamba baba mtakatifu papa Francis ameagiza sasa wafungishe ndoa za mashoga kanisani.

Papa Francis amefungua milango wa wakatoliki kufumuana mitaro na kuoana na bado wanaruhusiwa kubariki ndoa kanisani.

Tuliwaambia watu kwamba dini ni taasisi za kitapeli hawaelewi.
 
Soon tutaanza kuona tbc kipindi cha kanisani James Delicious akifunga ndoa St. Peters pale.
 
Kwa afrika ni Nigeria, Cameron, Malawi na Zambia tu.

wamepinga na hao wengine vipi? Na Tanzania vipi?
Tanzania hakuna mwenye jeuri ya kumpinga PAPA.
Atakae fungua mdomo anakatiwa ruzuku kutoka Vatican.
We nenda kamuulize Pengo anasema kuhusu kauli ya PAPA. nakuhakikishia jibu hutopata. Saaana utaambiwa Wewe una Mapepo machafu. Unatakiwa kuombewa.
 
TZ haijatoa taarifa rasmi ila haikubaliki
We vipi? Bila kukataa wzwz tena kwa kupitia TV ya TAIFA ina maana hawajapinga kauli ya PAPA .

Tunataka kumuona KADINALI PENGO ndani ya TBC akikana kauli ya PAPA na atamke wazi Kuwa KANISA KATOLIKI TANZANIA LINAPINGA NA KUKATAA KAULI YA PAPA na Kamwe HALITAMBUI USHOGA KTK KANISA.
Sheria za kimataifa na za Nchi zinasema "KUKAA KIMYA NI KUKUBALI".

Hata bibi harusi akiulizwa"ekubali Kuolewa, akikaa Kimya maana yake AMEKUBALI".

Muuwaji mahakamani akiulizwa "UMEUA?" akikaa kimya amekubali. Kinachosubiriwa hapo ni Ushahidi tu.

Kifupi KANISA KATOLIKI TANZANIA LIMEKUBALI USHOGA .na mpk hapo KADINALI PENGO ATAKAPOTAKANA WAZI.


Kwahio wakatoliki wote Ruksa kufanya vitendo vya Sodomy.
Hio ndio katamka PAPA.

Naona wengi watatoka mafichoni na kufunga ndoa Rasmi.
 
Ukraine ile ya zeleman zinky au noo[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…