Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk anasema ni wakati sasa wa Poland kufikiria kuwa na silaha za juu zaidi ya za kawaida ikiwemo silaha za nuclear.
Hatua hii inakuja baada ya Marekani kujiondoa kama mdhamini mkuu wa usalama wa Ulaya pamoja na kuwa na sera zisizotabirika tena katika mahusiano yake na washirika wake mbalimbali.
Donald Tusk amerejelea mfano wa kuvamiwa Ukraine akisema kama wangebaki na silaha zao leo wasingeweza kuvamiwa na Urusi.
Katika hatua za muda mfupi kwa sasa Poland wako katika mazungumzo na Ufaransa kuwa chini ya mpango wao wa ulinzi wa sera ya nuclear.
Hatua hii inakuja baada ya Marekani kujiondoa kama mdhamini mkuu wa usalama wa Ulaya pamoja na kuwa na sera zisizotabirika tena katika mahusiano yake na washirika wake mbalimbali.
Donald Tusk amerejelea mfano wa kuvamiwa Ukraine akisema kama wangebaki na silaha zao leo wasingeweza kuvamiwa na Urusi.
Katika hatua za muda mfupi kwa sasa Poland wako katika mazungumzo na Ufaransa kuwa chini ya mpango wao wa ulinzi wa sera ya nuclear.