Pole Baba angu mzuri na kazi, asante Mungu Baba kunirejeshea salama furaha hii ya moyo wangu akiwa salama. Nakupenda sana baba angu mzuri, nimefurahi sana kukuona ukiwa mwenye tabasamu π. Nikuondolee hizi uoge
Hamna bhana ππ,sa unakuta mume nimeludi nimechoka mwenzangu wakunja sura kama umelamba limao,mwenzangu umekunja sura kama unataka kuiweka Kwenye begiπ€·π½ββοΈππ