witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kiufupi mi naona ni asilimia zote aseeAsilimia kubwa Yes,hatupendani.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiufupi mi naona ni asilimia zote aseeAsilimia kubwa Yes,hatupendani.
Si kama mama dangote nadhani jibu alilipata kwa esma na msizwa[emoji848]Kwa kweli wamama wengine wanawatesa wakamwana wao na kuharibu ndoa zao, ila wanataka mabinti zao wakiolewa ndoa zao zidumu, mama wakwe wakawatende mema. Apandacho mtu, ndicho atakachovuna
Si kama mama dangote nadhani jibu alilipata kwa esma na msizwa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Malipo huwa ni hapahapa duniani wala si peponi na mbinguniSi kama mama dangote nadhani jibu alilipata kwa esma na msizwa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sababu hasa ni nini hadi wanawake wengi hampendani?
Hata sijui ndugu yangu coz mi siko hivoSababu hasa ni nini hadi wanawake wengi hampendani?
Umemsahau mtoto wa Tandale hahaTatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Vikuku miguu yote, noma sana [emoji16]Chombo ya fundiView attachment 1799806
Wakifanya chadema mnasema hawana nidhamu, kwa vile wa CCM mnasema wa wote, double standardsKwanini umeitaja CCM kwa matendo maovu ya mhusika binafsi? Hata kama angekuwa ni wa CHADEMA, aibu ya mbunge ni aibu kwa taifa zima kwa maana analipwa/alikuwa analipwa kupitia kodi za watanzania wote.
Matthew 16:26.. For what will it profit a man if he gains the whole world, but loses his soul?Lakini kwa Catherine Magige hii ni promo kubwa na ya msingi sana.
Tusisahau kwamba watu kama hawa wajasiriamali wa mapenzi wanategemea "kiki" ku-thrive.
Tulivyo wanaume, sasa hivi kila mwenye pesa ataanza kumwinda the popular politika hot chicka aweze kummega.
She knows it. Amepanda dau.
Kwahiyo kama kuna mtu anadhani Catherine kajishushia heshima, ajikosoe. She's playing a different game in a different field.
Sasa saikolojia ya wanaume iko tofauti,mwanamke anaeruka ruka ndio anatakiwa wenyewe wanaamini atakuwa na mautundu ya kudatisha huyo,sasa wewe ulietulia ka maji ya mtungi wana conclude kabisa kwamba wewe utakuwa na mashida yako ya ndani utaki watu wayajue.Ukute hata hapo alipo tayari anaye au anao, tuliotulia hata wakuja kutununualia maji ya kandoro hakuna, bahati za watu hizo [emoji25][emoji25]
Kweli kabisa acha wafaidi uumbaji wa MUNGU ![emoji23][emoji23][emoji23]sasa saikolojia ya wanaume iko tofauti,mwanamke anaeruka ruka ndio anatakiwa wenyewe wanaamini atakuwa na mautundu ya kudatisha huyo,sasa wewe ulietulia ka maji ya mtungi wana conclude kabisa kwamba wewe utakuwa na mashida yako ya ndani utaki watu wayajue.
Kuvamia misiba ya watukavunja sheria gani?
Siyo mzuri kivile sema makeup inamuweka vizuri, wa kawaida sana.Mtoto mzuri kweli sema kwa kawaida tu Caty huwaga malaya sana sijui kwanini yani? Hili jina bana
Labda ni mzuri akivua nguo, kuna wanawake wengine mwonekano wao siyo mzuri lakini wakivua Wana figure nzuri na kitandani wanajituma sana.Hiki chuma mbona cha kawaida sana mabaharia wenzangu!!!!!
Kijana Job anamla kigogo.Job ndugai amchukue na kumfanya mke mdogo
Changudoa siku zote hana haki hata kama mume wa mtu kafia nyumbani kwako basi wewe ni selo tu maana ni muharibifu. Uliona wapi changudoa ana haki?I stand with Magige, jamaa Amefia mikononi mwake anahaki yakumzika.
Na wewe unataka kuliwa ?Kijana Job anamla kigogo.