Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Mama yetu Mkatoliki pure alikuwa anasema,acha nisimame na mtoto wa Mwanamke mwenzangu ili na Mabinti zangu watakapokutana na haya majaribu wapate wa kuwatetea pia. Wadogo zangu wa kiume wana Ndoa zao kwa sasa na kila siku tunawakumbusha,mkipuyanga tu,kilichompata Kaka na nyinyi itakuwa hivyo hivyo. Thank God sote tumesimama katika Ndoa zetu,na tunashukuru sana Mawifi zetu wanamwangalia Mama yetu hadi raha japo yuko kwake.Kwa nini tusipiganie Ndoa zao akiingia Shangingi kama Magige
Ila wanawake Mungu atusaidie na hili suala la kupigania ndoa
Mtu anakusaliti unasema karogwa unaomba htr
Life is not fair ujue
 
Wanaume wengine hapa mnamwaga povu sababu ubavu wa kumpata hakuna mnaishia kumla kwa picha poleni sana.

Anagawa kama pipi lakini hauna hela ya kununua hiyo pipi 😛
 
Hahaaa,mi natakaga ujinga sasa! Kwanza ye na hicho kikundi chake wangeishia nje na wangelala selo, pumbavu kabisa!

Huwa nawashauri tu wadada ukimkuta mtu na mkewe wapo kwenye sintofahamu usiingie hapo utaishia kuaibika tu,ndo haya sasa!

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Ubavu wa kumlaza Cathy selo huna.

Kakuzidi kila kitu endelea kujifurahisha tu.
 
usichukue upande wa mtu kisa ana hela.... huyu Cathy alikuwa rafiki yake mjane ndo akaanza kutoka na marehemu na ndio sababu ya divorce, mwanamke ndio alifungua shauri na hata divorce hearing ya wiki iliopota bwana alikataa kutoa divorce akisema anataka watengeneze na mke wake. cathy kamyanyasa mno huyo dada akiwa na mmewe, kamweka ndani na kampeleka polisi mara nyingi sana, kamtukana hata kwa kutumia simu ya mister na ndugu wote wanajua...mnachofanya mtandaoni sasa hivi mnajifurahisha nyie wenyewe kwani arusha nzima inamuelewa huyo mjane na wanajua Cathy ni mchafu mno .....halafu suala lingine..hivi mnajua kilochomuaa marehemu? Marehemu alimfumania Cathy Magige live....ndo kupata pressure na kurudi nyuma kutaka kurudiana na mkewe kabla mauti hayajamkuta...yani mtu kavunja ndoa yako umeishi nae unakuja kugundua umeharaibu familia yako sababu ya mtu ambae sio mwaminifu.Ndo mana familia nzima na ndugu wana hasira na Cathy mnaomtetea huyo bidada inawezekana nao ni wadangaji mama yete tu...
Tunaomba ushahidi wa Cathy kufumaniwa.
Acheni zenu.
Kuna watu wanamchukia tu bila sababu ya msingi hasa wenye ndoa zinazopumulia mashine.
 
Nimejaribu ku-google nikaona picha zake.... ahaa. Jamani nchi yetu imeoza. Watu wa aina hii wanafikaje bungeni? CCM wamefilisika kiasi hiki? Wabunge wa aina hii wanatoa ujumbe gani kwa kizazi cha kesho?
Hawa ni wabunge wa kupitisha miswada wakiwa wamesinzia
 
Aziza alikuwa na cheti kilichokuwa njiani kuchanika.
Cathy alikuwa na moyo wa Madoda.

Mke mbabe mpumbavu ndo maana liweza kuvunja ndoa yake.

Catherine kawaonyesha ushangingi wake haswa kawafunga midomo hakuwaogoa kufika msibani.
 
Wanaume wengine hapa mnamwaga povu sababu ubavu wa kumpata hakuna mnaishia kumla kwa picha poleni sana.

Anagawa kama pipi lakini hauna hela ya kununua hiyo pipi [emoji14]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Mama yetu Mkatoliki pure alikuwa anasema,acha nisimame na mtoto wa Mwanamke mwenzangu ili na Mabinti zangu watakapokutana na haya majaribu wapate wa kuwatetea pia. Wadogo zangu wa kiume wana Ndoa zao kwa sasa na kila siku tunawakumbusha,mkipuyanga tu,kilichompata Kaka na nyinyi itakuwa hivyo hivyo. Thank God sote tumesimama katika Ndoa zetu,na tunashukuru sana Mawifi zetu wanamwangalia Mama yetu hadi raha japo yuko kwake.Kwa nini tusipiganie Ndoa zao akiingia Shangingi kama Magige
Pongezi sana kwa mama, ni jembe!
 
Na huyo Mume ndiyo kazikwa na mwenye Cheti,hata kumuona kwa mara ya mwisho kashindwa, usipokubali kuwa kuwa Kimada ni second option ya Mwanaume basi utatumika sana na mwisho wako utakuwa huo wa kudharirika. Na kwa sasa ndiyo asahahu,hakuna Mwanaume mwenye akili yake timamu atahubutu kuishi na huyu Cathe hata kwa miezi kadhaa. Sasa hivi atakuwa anagongwa kimya kimya tu.
Hahaaa,mwenye cheti ndo kamzika!

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli wamama wengine wanawatesa wakamwana wao na kuharibu ndoa zao, ila wanataka mabinti zao wakiolewa ndoa zao zidumu, mama wakwe wakawatende mema. Apandacho mtu, ndicho atakachovuna
Yaani acha mama mkwe anataka kuwa sambamba na mkamwana, kama nikunuliwa kitu mwanaye aanze kwanza kumnunulia yeye jamani [emoji25][emoji25][emoji25]
 
Aziza alikuwa na cheti kilichokuwa njiani kuchanika.
Cathy alikuwa na moyo wa Madoda.

Mke mbabe mpumbavu ndo maana liweza kuvunja ndoa yake.

Catherine kawaonyesha ushangingi wake haswa kawafunga midomo hakuwaogoa kufika msibani.
Mhh si kwa kutetea huku. Inaonesha una details zao zote. Au ndio wewe Mhe, nini?
By the way, Angepambana kumwongozo spiritually huyo mwanaume mwendazake, mume wa mtu wakati wa uhai wake ningemwona wa maana. Lakini hayo mapambano ya kimwili, ushangingi sijui nini aliyokuwa anayafanya ni kushow off tu, hayamsaidii chochocte huyo mume mbele ya MUNGU. Hivi kumbe ushangingi ni sifa?
 
Back
Top Bottom