Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kunywa maji utaponaKwendraaa na generalisation yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa maji utaponaKwendraaa na generalisation yako.
Hamna anayemuua mtu, sema wanasingiziwa Sana cause ikitokea kifo kikatokea mwanamke wa kichaga hawez kukubali kudhulumiwa Mali na mashemeji au yeyote, na wakishanyimwa ndo wanaanzaga kusingizia mtu ameua.
Yaani hii picha imenichoshaaaa mnoooi!!duhhMambo ni mengi ila yamepishana kwa kamuda katoko
Kuna mpasuko mpya mjini. Yani leo kumetokea kupatwa kwa mwezi na picha za mchana zinaonyesha giza. Mfano ni hii
View attachment 1091191
Is she Jack huyu huyu wa Mengi ?Yaani hii picha imenichoshaaaa mnoooi!!duhh
Is she Jack huyu huyu wa Mengi ?
Ni kweli hatukatai lakin tunachopinga ni hawa watu kueneza habar ambazo hawana uhakika kwa maslahi yao wanayoyajua
Najiuliza tu hivi angeanza kufa k huu ufukunyuku na uzushi ungekuwepo?
Dah maisha haya yanaenda kasi sana.Yaani hii picha imenichoshaaaa mnoooi!!duhh
Zitaletwa picha nyingi hapa ila unakuta wanaotunga story ukute hawana hata miaIs she Jack huyu huyu wa Mengi ?
Dah maisha haya yanaenda kasi sana.
Mbona picha kama imepigwa kihuni huni.Ndo huyo huyo kaka
Huwa nasema sisi waafrika aina ya maisha tunayoishi huenda kuna nyaya zilikatika kwenye ubongo wakati tunaumbwa. Uwezo wetu kifkra kwa walio wengi upo chini sana.Zitaletwa picha nyingi hapa ila unakuta wanaotunga story ukute hawana hata mia
Mjaa asili haachi asiliMbona picha kama imepigwa kihuni huni.
Msemo mpya umenipa leo , mzee mamaMjaa asili haachi asili
Nakataa katukatu,mama yangu ni mututsi na sijaona ubaya wakeHao watu wanatabia zao za kipekee,husitokee ujamwamn hata kama umeishi nae mpk uzeeni,husishangae akakupndua uzeen8
Watutsi nawajua vizur kulko wao wanavyojijua
Duh! Njemba ni mwarabu? usikute alikuwa anafukua mtandao wetu pendwa!! dah!!Yaani hii picha imenichoshaaaa mnoooi!!duhh
Maneno kama hayo yanayosambaa kama huna moyo wa chuma yanaumiza sana, inatakiwa uwe fedhuli wa roho mbaya kuweza kuyahimili, sijui Dada Jacky yupo kwenye hali gani kwa sasa, Mungu amzidishie kuwatia moyo wafiwa, time will tell
Tatizo ni picha alizopiga na mwarabu wake na wapo Gizani tena maeneo ya hotel in na wanaonekana wachovuuu wamechokaa....wabongo tuache kuishi kinafiki....Story zote zishaanikwa humu..
Pole sana