Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 748
Nilichojifunza watanzania wengi tuna roho mbaya sana. Tuna roho ya kwanini, tuna wivu.
Ukiona mtu anapata maendeleo hatupendi. Naelewa sasa ndo maana nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye watu wake wenye huzuni zaidi duniani. Kifo ni kifo tu ila basi tumuombee Kwa Mungu Roho yake ipumzike kwa amani.
Ukiona mtu anapata maendeleo hatupendi. Naelewa sasa ndo maana nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye watu wake wenye huzuni zaidi duniani. Kifo ni kifo tu ila basi tumuombee Kwa Mungu Roho yake ipumzike kwa amani.
Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan
Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati
Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha
Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944