Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo

Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo

Nilichojifunza watanzania wengi tuna roho mbaya sana. Tuna roho ya kwanini, tuna wivu.

Ukiona mtu anapata maendeleo hatupendi. Naelewa sasa ndo maana nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye watu wake wenye huzuni zaidi duniani. Kifo ni kifo tu ila basi tumuombee Kwa Mungu Roho yake ipumzike kwa amani.
Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan

Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati

Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha

Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944
 
Watusi mnaangaika sana.

"Watoto zake" ni moja ya kiashiria kwamba mtoa mada ni Myarwanda.

Naona anatetea Mtusi mwenzake.

Wachagga Siku zote Tupo macho.

Hatuwezi kuacha jambo lipite hivihivi wakati kuna mazingira na kelele za ajabu.

Chagga ni Taifa, ni damu, ni jamii imara.

Semeni sana, ila ukweli utajulikana tu.
Nimesoma kwa accent ya kwetu machame.

Wachaga Hatuchukulii vitu kirahisi kama watu wanavodhani.
 
Wewe nae ndio walewale, umemuibia dada yako mwanaume unakuja kumtetea besti yako hapa.
mwanaume gani huyo nilioiba hivi uzushi unawapa faida gani nyie watu?
 
Nilichojifunza watanzania wengi tuna roho mbaya sana. Tuna roho ya kwanini, tuna wivu.

Ukiona mtu anapata maendeleo hatupendi. Naelewa sasa ndo maana nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye watu wake wenye huzuni zaidi duniani. Kifo ni kifo tu ila basi tumuombee Kwa Mungu Roho yake ipumzike kwa amani.
ni kweli watu waliozua haya mambo hawana tofaut na wachawi wakiongozwa na yule taahira mwenzao kimavi
 
Kumbe unaijua ladha ya kitu laini!!!

Hahahahaha nimegusa penyewe mmebaki kujionyesha upumbavu wenu wanaume mnapotumia matusi kumjibu mwanamke!!!!
pumbavu huyo mwanaume wa kweli hawez kuwa hivyo
 
Watusi shikamooo,bora niwe na mchaga kulko hao watu ninawajua vizuz kulko wanavyojijua
Kila jamii inao watu wabaya na wazuri,, tujifunze kumshutumu mtu binafsi sio jamii anayotokea
 
Hapa tunazungumzia ubaguzi wa kikabila,, kuwatukana wahaya, waha ama watutsi kisa tu sababu ya jack (ambapo hata haijathibitika kuhusika na tuhuma hizi) ni kuwaionea jamii yake anapotokea

Ambacho sijaeleweka ni kwamba simtetei wala simshutumu jack ila napinga kwa nguvu zote kutukana na kudhihaki kabila lolote kwa kosa la mtu au watu baadhi
Wengine Kwa chuki zao binafsi akiwemo na dudu baya wanalishutumu kabila la wahaya wakati hata huyo ntuyabaliwe Hana hata chembe ya uhaya.

Mwingine eti wahaya wasiolewe kisa jack . anyway aliumbuka baada ya kukuta ooh kumbe sio muhaya.
 
Binadamu kufa kifo cha kawaida ni Heshima ila binadamu kuuwawa na mwenzake ni dhambi.
Anayekataa kifo anamsuta muumba wake kwa sababu Mungu alisema hakika binadamu atakufa.
Maisha yanaleta maana kwa sababu ya kuwepo kifo kwa sababu kama sote tungeendelea kuishi Dunia hii isingeweza kukalika.
Mungu amechukua Roho ya Mengi wakati badu tunamhitaji, tumshukuru Mungu kwa yote.
Wahenga walinena.
Will or testament ya Mtu hutekelezeka baada ya yeye kufa.
Kwa hiyo yote aliyokuwa ananataka MENGI yafanyike na kama yalikuwa na utume na Baraka ya Mungu hayatafifia kamwe ila yatang'aa kama jua na kumulika kila mahali.
 
We jamaa hebu nitafute nikupe zawadi. Umeongea fact. Tuna laana waafrika.
Acha kutoa zawad kwa ushabiki huo nani alikuambia sisi kwa sisi tunabagua,mbona mataifa mngn ubaguz upo sana hasa nchi za uarabu,katka swala la ubaguzi sisi wa africa tunaweza kuwa wa mwsho....
 
Ukiwa na akili kubwa raha sana, nadhani umeona makusudi yangu yalivyofanya wanaume wenzenu kumwaga radhi hadharani!!!

Katika watu wasiopenda kujadili madhaifu ya kikabila mi ni mojawapo,,, nimejaribu tu kidogo kusema baya moja tu la wanawake wa kichaga maana tangu mzee afariki imekuwa ni matusi na dhihaka kwa makabila flani flani
kama wanawake wa kichaga wana tabia ya kuua wanaume pindi maisha ya waume wao yakiwanyookea, inakuwaje bado wanaume wanawaoa wanawake wa kichaga? kwanini makabila mengine wasiwaache ma-binti wa kichaga waolewe na wachaga wenzao ili wauwane wenyewe kwa wenyewe au wabaki tu wakiangaika? washauri watoto wako, jamaa zako, kabila lako na ikiwezekana watanzania wote wakae mbali na mabinti wa kichaga kuwa hawafai kuolewa maana watauwawa wapato mali!
 
Endelea kusoma soma ipo siku utanielewa!!! Sina tabia ya kutukana kabila zima kwa kosa la mwendawazimu mmoja
kama wanawake wa kichaga wana tabia ya kuua wanaume pindi maisha ya waume wao yakiwanyookea, inakuwaje bado wanaume wanawaoa wanawake wa kichaga? kwanini makabila mengine wasiwaache ma-binti wa kichaga waolewe na wachaga wenzao ili wauwane wenyewe kwa wenyewe au wabaki tu wakiangaika? washauri watoto wako, jamaa zako, kabila lako na ikiwezekana watanzania wote wakae mbali na mabinti wa kichaga kuwa hawafai kuolewa maana watauwawa wapato mali!
 
Na kama sio kweli utasema nn, kuweni waelewa, mnafata ya mange kimambi kama alikuwepo tumieni akili
Yaan watu wangekuwa na huruma kwakweli, kwa jinsi nilivyomuona jack anahitaji huruma na sio maneno maneno.
 
Mimi nilidhani tayari report imetoka na kuonyesha hakuna chochote kilichotendeka dhidi ya mzee. Kumbe hata wewe unadhani tu!!. Binadamu ni MTU mwenye siri mno moyoni uwezi kumtambua kwa kumtazama.
Basi ndo wote tukae kimya tuache uchunguzi upite hilo litakuwa jambo la busara.
 
Back
Top Bottom