Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Nipo msibani Uncle Machame KilimanjaroNipe access yake
nimuulize
Teh teh teeeh!Hakuna utafiti unaoonyesha wachaga huua wame zao, ni dhana potovu tu kama tunayoijadili hapa, kwa wanaume wengi wenye mali maneno husemwa, haijalishi Mgogo, Mkwere , Mchaga au Mdigo, watanzania tunapenda sana hearsay
PoleniNipo msibani Uncle Machame Kilimanjaro
Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan
Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati
Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha
Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944
Mkuu umenchekesha mno boss vip umezishuhudia nini izo shoo za kufa mtu za wazeeeNani aliyewaloga nyie, usiishie kwa kukariri kuna wazee wanapiga show za kumfa mtu, wewe jidanganye tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umenchekesha mno boss vip umezishuhudia nini izo shoo za kufa mtu za wazeee
Kauli zako za kibaguzi haujaziona? Kweli nyani haoni ndukule.Hili ni mlya la kihaya.
Money Penny analijua vizuri.
Linakera sana na kauli zake za kibaguzi.
Ngoja nitafute ule uozo wake niweke hapa
Wacha kiherehere cha kujikuta umeumia kuzidi watoto wa marehemu na kuwapangia sijui upuuzi wa mila sijui kitaeleweka sijui takataka gani kwa kujivisha ukabila. Yule ni Don sasa wewe kapuku jikute unamjuajua kijinga jinga utapasuliwa katikati ya matter_core shauri yako.Una unatakaje sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani tajiri anauwawa na maskin anakufa [emoji25][emoji25]
heri wali mandondo kuliko walimwenguYaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan
Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa baba wa watoto zake kama angefanya hivyo hiyo dhamb ingemsuta maisha yake yote.angeiweka wap sura yake anapokuwa na watoto zake.Acheni uzushi
Binafs bado nilikuwa nayaona mapenzi ya dhati ya jack kwa mzee mengi hata kama angefilisika naamin angeendele kumpenda kwa dhati
Binadamu tusipende kuzua mambo tusiokuwa na hakika nayo. Fitina ni jambo baya sana haswa katika mahusiano ya watu.watu weng walikuwa wanamuonea husda jack kupendwa na mengi na baada ya kutokea hiki kifo wanataka kuzidhihirisha kwa waz husda zao zilizokuwa zimejificha
Justice will prevail
Be strongView attachment 1088944
Kifo cha tajiri lazima kiwe na 'sababu'! Hata ukifa kwa malaria watasema kuna mtu alimtegeshea mbu.Yaani tajiri anauwawa na maskin anakufa [emoji25][emoji25]
Naimani wewe ni mwanafamilia wa marehemu mkuuMkuu serikali yetu tunaomba isilale kabisa mpaka ukweli umejulikana. Na unapomfanyia mabaya innocent man like Mzee Mengi ni lazima ita back fire immediately.
Kifo cha tajiri lazima kiwe na 'sababu'! Hata ukifa kwa malaria watasema kuna mtu alimtegeshea mbu.
Hapo Kenya kuna battle ya kifamilia baada ya Mzee mkongwe kwenye siasa na tajiri kufariki. Mwaka wa zaid ya ishirini suluhu mahakamani haijapatikana. Mawakili wanakula tu mpunga.
Ukifuatilia hata kwa hili la Mzee wetu utaona sasa hivi kama kuna trend flani hivi watu wameshatengeneza na hukumu juu! Hapo pengine kuna baadhi ya 'wanafamilia' wanachekelea tu. Mbesa
Sasa kama wanaua, kwanini hawachukuliwi hatua za kisheria?
Serikali haioni?
Acheni uzushi.
Huyu Malaya wa ki2si lazima anyooshwe nyoko ninyi
Kama ni kweli mbona wapo wanawake wa kichaga walioolewa na wanaume wenye kipato kidogo zaidi
Povu halikusaidii kyasaka.
Pesa natafuta maana ni jadi yangu, ni jadi yetu, na hilo mnalijua.
Lazima ukweli uwekwe bayana. Msitutoe kwenye mstari na povu zenu kama vipi mkafulie.
Kama mamlaka zitasema hakuna shida, basi, na iwe hivyo, ila kama kuna shida bas wazimalize kihalali.
Kimila pia zitamalizwa, na maisha yasonge!
Unasikia we kyasaka?
Kwaiyo point yako ni ipi?Mzee hakuwa anakula mikuyati ili kumridhisha yule binti kweli ?
Nina mashaka na hilo?
Inakuhusu niniMzee hakuwa anakula mikuyati ili kumridhisha yule binti kweli ?
Nina mashaka na hilo?
Kweli kabisa
Na last time nilimwona mzee ana tetemeka kama mgonjwa
Leo hii amekuwa mzima mpaka kusababishiwa kifo [emoji15][emoji15]