Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo


Unafrw ww
 
Huyo chatu siyo wa kupewa pole na huruma za kinafiki.
 
Kijana umetumwa? upo moto naona utadhani umenyimwa kisusio
 
Naimani wewe ni mwanafamilia wa marehemu mkuu
Kwa heshima ya marehemu kwa nchi yake na walivyojitoa kiuchumi na kijamii then he is our statesman na Mimi ni mzalendo so part of his extended family. We all are.
 
Ni waache polisi wafanye kazi yao sio kuropoka tu bila ushahd
 
Unaingiza uchagga kwenye pesa za dume mwenzio! Oooh taifa kubwa sasa hizo takataka unatoa wapi wewe ? Tafuta zako ya Mengi hayakuhusu wewe fisi hizo ni issue za familia yake tuliza huto tukende
Unafrw ww
 
Wengine Kwa chuki zao binafsi akiwemo na dudu baya wanalishutumu kabila la wahaya wakati hata huyo ntuyabaliwe Hana hata chembe ya uhaya.

Mwingine eti wahaya wasiolewe kisa jack . anyway aliumbuka baada ya kukuta ooh kumbe sio muhaya.
 
Unajua kwanza especially huku USA Sheria partner , mke , mume akifa ghafla aliye hai ni suspect .Mume akifa regardless of the age hapa USA mke utachunguzwa vibaya mno.Jaq ni age ndio Tatizo na Kama alikuwa na boyfriend amekwisha.Red flags za uhusiano wake na mengi ni nyinyi number 1-Babu alikuwa anavalishwa Kama kijana( it means haiku accept babu kuwa mzee) number 2-Alikuwa Ana stage photos 3- Aliekuwa Ana post twitter Instagram ya Mr mengi ni jack au mengi ? Choice of words .
 
Namba na 1 na 2 sijakuelewa mkuu
 
Ngoja wafanye uchunguzi tuondoe hili wingu lililotanda happy Kati.Hii italeta Amani kwa watoto wale wadogo na wakubwa
 
Mgonjwa huyo uliyemuona ‘last time’ alikuwa na haja gani ya kutangishwa mara Zanzibar mara Dubai, maharusi yote ya mjini, mahafla??? Busara haikutumika.
Nilikuwa najiuliza kama alikuwa anatetemeka kwa nini aende Zanzibar Mara Dubai vacation ????
 
Kila jamii inayo sifa nzuri na mbaya mnapozungumzia sifa mbaya za wengine nanyi zenu zinajulikana na kuzungumzwa

Wanawake wa kichaga wanajulikana tabia yao ya kuua waume zao ili wapate mali
Watusi shikamooo,bora niwe na mchaga kulko hao watu ninawajua vizuz kulko wanavyojijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…