Pole mtani,Mpira si Mbwe mbwe ni mbinu sasa na wewe ni Matopeni FC

Tatizo akina Okwi, Kotei na Niyonzima hawakuwa sehemu ya timu jana. Wangekuwepo hao wanaume Simba angepindua meza.
 
Tatizo akina Okwi, Kotei na Niyonzima hawakuwa sehemu ya timu jana. Wangekuwepo hao wanaume Simba angepindua meza.
Mkuu unaanzaje kusema haya wakati kikosi hiki tulichosajili tumeambiwa ndo cha kimataifa cha kupambana na akina al ahly na mazembe? Je ina maana unataka kupingana na uongozi wa timu
 
Mkuu unaanzaje kusema haya wakati kikosi hiki tulichosajili tumeambiwa ndo cha kimataifa cha kupambana na akina al ahly na mazembe? Je ina maana unataka kupingana na uongozi wa timu
Mkuu tangu mwanzo sikuafiki huo usajili wao. Ndio maana nasema hayo!
 
Waambie pia FA wapo Mashujaa na Green Worriors wanawasubiri.
 
Subirini "mtange tange angani" mara paaa,mnarudi mlipotoka na kusubiri "viti maalum" tena!Lwandamila anawacheki tu.
 
Tatizo akina Okwi, Kotei na Niyonzima hawakuwa sehemu ya timu jana. Wangekuwepo hao wanaume Simba angepindua meza.

🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶Na vipi kama mngeshinda hiyo mechi! Halafu shibobo akatupia mbili, Kagere moja, Kahata 1!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…