kataip
Senior Member
- Aug 21, 2013
- 145
- 80
Mwanaume huna muda na wanao, mkeo na watu wako. Umepata neema miaka 10 watoto 4.
Mkeo anawaangalia kwa mapenzi na kukueshimu hana out, dinner wala lunch na wanao hata akikuomba mtoke unasema una kazi nyingi.
Unakutana na wasichana kwenye kazi, semina na vikao nk unavuta unawekeza, out, safari nje ya mkoa nk
Wanao wamekuwa kama yatima na unajisifia wewe kidume!!! Kidume gani wanao hajaanza hata kijitegemea kwa lolote?
Simamieni majukumu yenu kwanza ndipo mtoke acha na story za vijiweni huku nyumba mnaziteketeza na kulaumu wake zenu. Mama watoto athaminiwe.
Kataip nikiwa lindo.
Mkeo anawaangalia kwa mapenzi na kukueshimu hana out, dinner wala lunch na wanao hata akikuomba mtoke unasema una kazi nyingi.
Unakutana na wasichana kwenye kazi, semina na vikao nk unavuta unawekeza, out, safari nje ya mkoa nk
Wanao wamekuwa kama yatima na unajisifia wewe kidume!!! Kidume gani wanao hajaanza hata kijitegemea kwa lolote?
Simamieni majukumu yenu kwanza ndipo mtoke acha na story za vijiweni huku nyumba mnaziteketeza na kulaumu wake zenu. Mama watoto athaminiwe.
Kataip nikiwa lindo.