Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
POLE SANA EWE RAFIKI YANGU MWEMA
Yawezekana ulilala mwili tu ila akili na nafsi yako zilikesha zikiweweseka juu ya hilo jambo unalokabiliana nalo. Moyo na nafsi zimeinama
Yawezekana ulilala ukiwa na maswali mazito yaliyokosa majibu, umeamka ukiwa na maswali yaleyale yasiyokuwa na majibu juu ya hatma yako ya matamanio uitamaniyo kuiishi duniani
Yawezekana maswali hayo umesababishwa na uliyemwamini, yawezekana yametokana na matarajio yako kutokuwa vile ulivyotarajia kabis
Unailazimisha furaha ila haidumu, unajaribu kuonekana uko sawa mbele za watu ila ndani mwako kunafukuta kwelikweli. Ukiwa pekee yako au ukijisahau unaongea huku ukijijibu
Yawezekana changamoto unaijua ilipo ila unaogopa kufanya kitu kwasababu unaogopa kupoteza au kuanza upya. Hutaki kujisahihisha ila unaendelea kujilaumu. Huo ni UGALATIA
Kujilaumu hakutakusaidia kitu kwenye jambo linalohitaji maamuzi. Kujilaumu ni kujiumiza zaidi lawama haindoi tatizo unalokabiliana nalo
Jisahihishe, kisha fanya mabadaliko kuendelea kujilaumu huku ukilialia hakutakusaidia kitu. Fanya kitu katika hilo linalokutesa rafiki yangu.
Yawezekana ulilala mwili tu ila akili na nafsi yako zilikesha zikiweweseka juu ya hilo jambo unalokabiliana nalo. Moyo na nafsi zimeinama
Yawezekana ulilala ukiwa na maswali mazito yaliyokosa majibu, umeamka ukiwa na maswali yaleyale yasiyokuwa na majibu juu ya hatma yako ya matamanio uitamaniyo kuiishi duniani
Yawezekana maswali hayo umesababishwa na uliyemwamini, yawezekana yametokana na matarajio yako kutokuwa vile ulivyotarajia kabis
Unailazimisha furaha ila haidumu, unajaribu kuonekana uko sawa mbele za watu ila ndani mwako kunafukuta kwelikweli. Ukiwa pekee yako au ukijisahau unaongea huku ukijijibu
Yawezekana changamoto unaijua ilipo ila unaogopa kufanya kitu kwasababu unaogopa kupoteza au kuanza upya. Hutaki kujisahihisha ila unaendelea kujilaumu. Huo ni UGALATIA
Kujilaumu hakutakusaidia kitu kwenye jambo linalohitaji maamuzi. Kujilaumu ni kujiumiza zaidi lawama haindoi tatizo unalokabiliana nalo
Jisahihishe, kisha fanya mabadaliko kuendelea kujilaumu huku ukilialia hakutakusaidia kitu. Fanya kitu katika hilo linalokutesa rafiki yangu.