maneno kuntu.... napita hiviiWatu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.
Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.
Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa pona pona ya Mbasha lakini lengo lako lilikuwa ni kuhakikisha kuwa mumeo asiye na hatia anafia jela, nakumbuka vyema, ulivyo kuwa umepania Kwa kweli Mbasha alinitia huruma Sana kipindi kile.
Ukamdhalilisha Sana hadi kufikia kuzaa nje ya ndoa yako.
Naam, ilikuwa ni kazi ya Lucifer, jamii nzima imeshakudharau Kwa matendo yako.
Biashara yako ya muziki wa injili haiwezi kuwa na soko tena maana jina lako ni baya Sana mitaani.
Baada ya kukutumia atakavyo Hatimae Lucifer amekubwaga, unakumbuka shuka pamekucha eti unataka kurudiana na mumeo, bahati nzuri naye kashtuka hakutaki kabisa maana hatosahu matendo yako, eti unawafuata wachungaji wakusaidie, Kwa lipi?
Pole Sana dada yangu huyo ndo Lucifer, amekulaghai na kukuacha njia panda.
Teh,teh,teh,namjjshukuru Mungu baba Wa mbinguni aliyeniumba mwanaume! Nawapongeza wadada wanaojitambua,! Kamwe Nazi haiwezi shindana na jiwe... Uzuri na urembo wa mwanamke sio Wa kudumu ubaya Wa mwanaume haujawahi kosa thamani...!! Ivumayo haidumu.. !!! Ni suala la muda tu..!! Utagundua umaarufu hausaidii. Bali huponza...!! Hongera Emanuel Mbasha..muda umeongea endapo hayo ni ya kweli.
Ama kweli Gwajima ni janga kwa jamii!Gwajima ni mtu mbaya sana..
Pole zake floraeeeehh umejuaje
UMEONA YA MBASHA TUMUACHIE MBASHA...YANGU NIACHIENI MIMI NA YAKO TUKUACHIE WEWE MWENYEWE.Hayo ni yao sisi hayatuhusu kabisa
Ndoa ni changamoto sana na ni Mungu tu wa kututenga na shetaniWatu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.
Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.
Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa pona pona ya Mbasha lakini lengo lako lilikuwa ni kuhakikisha kuwa mumeo asiye na hatia anafia jela, nakumbuka vyema, ulivyo kuwa umepania Kwa kweli Mbasha alinitia huruma Sana kipindi kile.
Ukamdhalilisha Sana hadi kufikia kuzaa nje ya ndoa yako.
Naam, ilikuwa ni kazi ya Lucifer, jamii nzima imeshakudharau Kwa matendo yako.
Biashara yako ya muziki wa injili haiwezi kuwa na soko tena maana jina lako ni baya Sana mitaani.
Baada ya kukutumia atakavyo Hatimae Lucifer amekubwaga, unakumbuka shuka pamekucha eti unataka kurudiana na mumeo, bahati nzuri naye kashtuka hakutaki kabisa maana hatosahu matendo yako, eti unawafuata wachungaji wakusaidie, Kwa lipi?
Pole Sana dada yangu huyo ndo Lucifer, amekulaghai na kukuacha njia panda.
Kama hutaki andamana"!Eti sio wa kudumu?! Kwendraaaaaaaa
Mahaba nayo yanausaidia moyo kusukuma damu eti... Ndio maana yakakaaga huko moyoni na sio kichwaniKazi ya moyo ni kusukuma damu mambo yakupenda ni kiherehere tu
Unajua ndoa ilianza kupigwa vita na shetani tangu enzi za Adamu na Hawa, na usipokaa na Mungu vizuri, ndoa utaiona pilipiliNdoa ni changamoto sana na ni Mungu tu wa kututenga na shetani
Mwachie ngosweYa Ngoswe.....
Mmmh! I don no anything about this ,let me pass! See youuu next ! Ya ngoswe ....!