Pole sana Flora Mbasha, huyo ndo Lucifer

Pole sana Flora Mbasha, huyo ndo Lucifer

Tena unaimba nyimbo za dini , unajifanya yesu amekushukia , angalia videos alizoimba na mbasha , zenye true love , good look , duh naishiwa hamu kbs , hawa wanawake mmmmmhhh !
 
  • Thanks
Reactions: MC7
m
Watu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.

Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.

Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa pona pona ya Mbasha lakini lengo lako lilikuwa ni kuhakikisha kuwa mumeo asiye na hatia anafia jela, nakumbuka vyema, ulivyo kuwa umepania Kwa kweli Mbasha alinitia huruma Sana kipindi kile.

Ukamdhalilisha Sana hadi kufikia kuzaa nje ya ndoa yako.

Naam, ilikuwa ni kazi ya Lucifer, jamii nzima imeshakudharau Kwa matendo yako.

Biashara yako ya muziki wa injili haiwezi kuwa na soko tena maana jina lako ni baya Sana mitaani.

Baada ya kukutumia atakavyo Hatimae Lucifer amekubwaga, unakumbuka shuka pamekucha eti unataka kurudiana na mumeo, bahati nzuri naye kashtuka hakutaki kabisa maana hatosahu matendo yako, eti unawafuata wachungaji wakusaidie, Kwa lipi?

Pole Sana dada yangu huyo ndo Lucifer, amekulaghai na kukuacha njia panda.
maneno kuntu.... napita hivii
 
Teh,teh,teh,namjjshukuru Mungu baba Wa mbinguni aliyeniumba mwanaume! Nawapongeza wadada wanaojitambua,! Kamwe Nazi haiwezi shindana na jiwe... Uzuri na urembo wa mwanamke sio Wa kudumu ubaya Wa mwanaume haujawahi kosa thamani...!! Ivumayo haidumu.. !!! Ni suala la muda tu..!! Utagundua umaarufu hausaidii. Bali huponza...!! Hongera Emanuel Mbasha..muda umeongea endapo hayo ni ya kweli.
 
Watu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.

Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.

Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa pona pona ya Mbasha lakini lengo lako lilikuwa ni kuhakikisha kuwa mumeo asiye na hatia anafia jela, nakumbuka vyema, ulivyo kuwa umepania Kwa kweli Mbasha alinitia huruma Sana kipindi kile.

Ukamdhalilisha Sana hadi kufikia kuzaa nje ya ndoa yako.

Naam, ilikuwa ni kazi ya Lucifer, jamii nzima imeshakudharau Kwa matendo yako.

Biashara yako ya muziki wa injili haiwezi kuwa na soko tena maana jina lako ni baya Sana mitaani.

Baada ya kukutumia atakavyo Hatimae Lucifer amekubwaga, unakumbuka shuka pamekucha eti unataka kurudiana na mumeo, bahati nzuri naye kashtuka hakutaki kabisa maana hatosahu matendo yako, eti unawafuata wachungaji wakusaidie, Kwa lipi?

Pole Sana dada yangu huyo ndo Lucifer, amekulaghai na kukuacha njia panda.
Ndoa ni changamoto sana na ni Mungu tu wa kututenga na shetani
 
Eti sio wa kudumu?! Kwendraaaaaaaa
Kama hutaki andamana"!
Ni rahisi Babu kumuoa mjukuu na wakazaa watoto,na bado babu akawa na heshima ileile kwa jamii. Vip bibi anaweza olewa na mjukuu wake na wakazaa watoto? Na hata wakifanikiwa je heshima yake kwa jamii itabaki kuwa ilivyo?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
binadamu ni watu wabaya sana mkiwa na ndoa ya furaha huwachekea unafiki kumbe wivu wa kishetani umewajaaaaa! utashangaa tu wanavyosherehekea watu kuachana nakutia mijineno ili wasirudiane wawe kama wao na mahusiano yao yasiyo na furaha
 
Masikini Mbasha! Lkn wasameheane tu ni mapito!

Mleta mada unauhakika alizaa nje ya ndoa?
 
Nakumbuka tulikuwa jangwani kwny mikutano ya mwal. Christopher Mwakasege#akasema roho mtakatifu ananiambia kuna watu wana kesi za kusingiziwa mahakamani ,wasimame Mungu amesikia kilio chao anataka kuingilia kati!#
Kati ya wengi waliosimama siku ile pia nilimuona E.mbasha,nae kasimama! Mwakasege aliomba sn!

Nikashangaa haikupita wiki mbili mbasha akashinda ile kesi! Nilibaki na maswali mengi,lkn mwisho nikajisemea Mungu ndo anajua,manaake nikikumbuka tulivyokuwa tunashadadia huku nyuma dah!!!

#nilijifunza kitu kikubwa#
 
Yesu alisema "tusihukumu kwa kusikia,kuona bali kwa Haki"

Hii ni kwa wote wanao conclude habari za kusikia!
Tuache kunyooshea watu vidole!
 
Si bure, haya maneno yatakuwa yametolewa na mpenzi mpya wa Mbasha!
 
Back
Top Bottom