Pole sana Flora Mbasha, huyo ndo Lucifer


Nadhani alimsamehe zamani sana, sema wewe unataka arudie matapishi hilo laweza kua gumu
 
mbasha alikua ananifanya nitokwe machozi kipindi kile, dah
 
hili jukwaa linaitwaje? so ukiingia humu halafu ukakuta fulani kazungumziwa ukasema "haituhusu" unanishangaza.sijui watu wanataka nn kizungumziwe humu,na wakat jina tuu la jukwaa linaonesha ni jukwaa la kuwazungumzia watu maarufu.by the way flora alifanya vitu ovyo sana.
 
Nawashauri warudiane " Alichounganisha Mungu hakuna wa ku kitenga"
Ndio mjifunZe
 
Mimi hata redio ikiimba wimbo wa Flora bahati mbaya naizima...
 
Umenikumbusha mbali sana. Mimi ni mmoja kati wa wanaume wanaomchukia huyu dada kwa maisha yangu yote.

Nitowe angalizo kwa Mbasha kama mume, iwapo anakipenda kifo kimjie mapema basi arudiane na huyo dada.

Amenshindwa polisi, akamshindwa mahakamani, hataweza kumshindwa kuchukua uhai wake wakiwa pamoja ni sawa na kumsukuma mlevi.

Mwanamke aliacha kumtii mungu kama muumba wake pale walipopewa maagizo ktk bustani ya Eden na badala yake akamsikiliza na kumtii nyoka.

Kwangu mimi niliumizwa sana na matendo ya mwanamke yule sijui kwa mwanaume mwenzangu aliyekuwa akishuhudia kila mshale unaolenga kwake.
 
Imeandikwa ktk maandiko matakatifu kuwa ugoni ni njia tosha ya kuvunja ndoa ya mkristo tena hakuna msamaha. Kitendo cha mwanamke huyu kuzaa nje ya ndoa ni zaidi ya ugoni.
 
Imeandikwa ktk maandiko matakatifu kuwa ugoni ni njia tosha ya kuvunja ndoa ya mkristo tena hakuna msamaha. Kitendo cha mwanamke huyu kuzaa nje ya ndoa ni zaidi ya ugoni.
Lakini imeandikwa vilevile anayeacha mke asioe na aliyeachika asiolewe. Anayekwenda kinyume chake anahesabika kuwa mzinzi. Mbona huzungumzii kuhusu kusamehe ili nawe usamehe dhambi zako?
 
Lakini imeandikwa vilevile anayeacha mke asioe na aliyeachika asiolewe. Anayekwenda kinyume chake anahesabika kuwa mzinzi. Mbona huzungumzii kuhusu kusamehe ili nawe usamehe dhambi zako?
Mimi namchukulia huyo dada kama gaidi wa ndoa na wakala wa shetani
 
hii kali kama ni kweli kumbe hata mimi wa kwangu kuna siku ataniomba msamaha
 
Umeona eeee?
 
Inatisha kumsikia mwanamke akimtuhumu baba wa mtoto wake kwenye vyombo vya habari kuwa anambaka na kuwa anatembea na msichana wa kazi.hivi atakuwa anampenda huyo mtoto hasa ukitilia maanani kuwa mtoto huyo hawezi kumbadilisha huyo baba akampata baba mwingine msafi. Kumbe tuhuma hizo ni za uongo zikitoka kwa mtu anayeimba nyimbo za kumsifu mungu.. Mungu ni mwenye huruma tumwombe atupe busara.
 
....maisha ya watu waachie watu wenyewe mjomba!, ukifatilia ya watu,ya kwako atayafuatilia nani?!
Atawakuta wamekumbatiana atashangaaa na roho yake
 
Its only fools who forget the past……………!
Mbasha kawa kama nyoshi nlikutana nae kwa Kameta producer nikajua binamu yangu Ibetibi toka Goma! Lazima Florah arudishe mpira kwa kipa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…