Nadhani kuna la kujifunza hapa katika maisha ya wawili hawa. Kwanza kabisa hata mpendane vipi ndoa sio mtermko kama wengi wanavyodhani, kuna mikiki kama hii hutokea.View attachment 373932 Watu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.
Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.
Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa pona pona ya Mbasha lakini lengo lako lilikuwa ni kuhakikisha kuwa mumeo asiye na hatia anafia jela, nakumbuka vyema, ulivyo kuwa umepania Kwa kweli Mbasha alinitia huruma Sana kipindi kile.
Ukamdhalilisha Sana hadi kufikia kuzaa nje ya ndoa yako.
Naam, ilikuwa ni kazi ya Lucifer, jamii nzima imeshakudharau Kwa matendo yako.
Biashara yako ya muziki wa injili haiwezi kuwa na soko tena maana jina lako ni baya Sana mitaani.
Baada ya kukutumia atakavyo Hatimae Lucifer amekubwaga, unakumbuka shuka pamekucha eti unataka kurudiana na mumeo, bahati nzuri naye kashtuka hakutaki kabisa maana hatosahu matendo yako, eti unawafuata wachungaji wakusaidie, Kwa lipi?
Pole Sana dada yangu huyo ndo Lucifer, amekulaghai na kukuacha njia panda.
Umeshasema ni DPP anayekata rufaa, by the way Flora hakuwa complainant. Na kukata rufaa hatuangalii "kelele" kama ulivyofunzwa chuoni kwenu. Tunaangalia uwezekano kisheria wa rufaa hiyo kufanikiwa.Wakati fulani DPP/Jamhuri hukata rufaa kutokana na kelele za complainant, ujue hilo.
Ungejua na mimi ni mdau wa ofisi ya DPP ungenisalimia kwa adabu na sio kunijibu kijeuri hivyo. Kama na wewe ni mdau basi ni vijana wa juzi sio kama sisi ambao hivi karibuni tutakuwa pensionable.Umeshasema ni DPP anayekata rufaa, by the way Flora hakuwa complainant. Na kukata rufaa hatuangalii "kelele" kama ulivyofunzwa chuoni kwenu. Tunaangalia uwezekano kisheria wa rufaa hiyo kufanikiwa.
Kuwa senior si kigezo cha kupotosha umma. Rejea maadili ya taaluma na wajibu wa mwanasheria kwa umma.Ungejua na mimi ni mdau wa ofisi ya DPP ungenisalimia kwa adabu na sio kunijibu kijeuri hivyo. Kama na wewe ni mdau basi ni vijana wa juzi sio kama sisi ambao hivi karibuni tutakuwa pensionable.
Mkuu, umesahau kuna antimicrobial resistance, na Cipro haijalikwepa janga hilo.Ainu niitoe wapi mimi Ciprofloxacin? mimi ni Dawa ninayetibu magonjwa yaliyoshindikana yasababishwao na Bacteria, mimi ni Dawa tu, aibu ataipata muhusika aliyekuwa akichapiwa.
Wanaume wengine walivyo wa ajabu...usishangae ukisikia wamesuruhisha na wamerudia kwenye mapenzi moto moto..[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]View attachment 373932 Watu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.
Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.
Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa pona pona ya Mbasha lakini lengo lako lilikuwa ni kuhakikisha kuwa mumeo asiye na hatia anafia jela, nakumbuka vyema, ulivyo kuwa umepania Kwa kweli Mbasha alinitia huruma Sana kipindi kile.
Ukamdhalilisha Sana hadi kufikia kuzaa nje ya ndoa yako.
Naam, ilikuwa ni kazi ya Lucifer, jamii nzima imeshakudharau Kwa matendo yako.
Biashara yako ya muziki wa injili haiwezi kuwa na soko tena maana jina lako ni baya Sana mitaani.
Baada ya kukutumia atakavyo Hatimae Lucifer amekubwaga, unakumbuka shuka pamekucha eti unataka kurudiana na mumeo, bahati nzuri naye kashtuka hakutaki kabisa maana hatosahu matendo yako, eti unawafuata wachungaji wakusaidie, Kwa lipi?
Pole Sana dada yangu huyo ndo Lucifer, amekulaghai na kukuacha njia panda.
Good questionLucifer Gwajima eeehh..?