Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Leo nami ninafurahi upo nitakuwepo jukwaani mamyYes my dear.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nami ninafurahi upo nitakuwepo jukwaani mamyYes my dear.
Sababu nakupenda na hilo walijua mpenzi
"Tusamehe makosa yetu kama sisi nasi tunavyowasemehe wanaotukosea". Mtu anikosee mara ngapi nimsamhe? Hata saba mara sabini. Mbasha, msamehe mkeo kama unataka kuiona mbingu. Hapa duniani hatuna mji udumuo. Hujui unaondoka lini. Kumbuka kifo hakina kanuni. Ebu jihoji, Je, hujawahi kumkosea mkeo? Basi msamehe. Hakuna mbingu kwa wasiosamehe. Mtaanza tena maisha na Mungu naye atawabariki sana.Watu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.
Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.
Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa pona pona ya Mbasha lakini lengo lako lilikuwa ni kuhakikisha kuwa mumeo asiye na hatia anafia jela, nakumbuka vyema, ulivyo kuwa umepania Kwa kweli Mbasha alinitia huruma Sana kipindi kile.
Ukamdhalilisha Sana hadi kufikia kuzaa nje ya ndoa yako.
Naam, ilikuwa ni kazi ya Lucifer, jamii nzima imeshakudharau Kwa matendo yako.
Biashara yako ya muziki wa injili haiwezi kuwa na soko tena maana jina lako ni baya Sana mitaani.
Baada ya kukutumia atakavyo Hatimae Lucifer amekubwaga, unakumbuka shuka pamekucha eti unataka kurudiana na mumeo, bahati nzuri naye kashtuka hakutaki kabisa maana hatosahu matendo yako, eti unawafuata wachungaji wakusaidie, Kwa lipi?
Pole Sana dada yangu huyo ndo Lucifer, amekulaghai na kukuacha njia panda.
Mkuu mbona hata hiki chanzo cha gazeti zmsio cha kuaminika?Watu wanaoona mbali walijua tu kuwa mbio zako ni za sakafuni.
Ulimtenda mumeo na ukataka afungwe, na hata aliposhinda kesi hukuridhika ukaamua kukata rufaa.
Bahati nzuri ulichelewesha ndo ikawa pona pona ya Mbasha lakini lengo lako lilikuwa ni kuhakikisha kuwa mumeo asiye na hatia anafia jela, nakumbuka vyema, ulivyo kuwa umepania Kwa kweli Mbasha alinitia huruma Sana kipindi kile.
Ukamdhalilisha Sana hadi kufikia kuzaa nje ya ndoa yako.
Naam, ilikuwa ni kazi ya Lucifer, jamii nzima imeshakudharau Kwa matendo yako.
Biashara yako ya muziki wa injili haiwezi kuwa na soko tena maana jina lako ni baya Sana mitaani.
Baada ya kukutumia atakavyo Hatimae Lucifer amekubwaga, unakumbuka shuka pamekucha eti unataka kurudiana na mumeo, bahati nzuri naye kashtuka hakutaki kabisa maana hatosahu matendo yako, eti unawafuata wachungaji wakusaidie, Kwa lipi?
Pole Sana dada yangu huyo ndo Lucifer, amekulaghai na kukuacha njia panda.
Huyo mume nani ??Anaweza kurudi sababu kdg kama mtoto wa mama yule jamaa.
Na wakristo wanasema hapana kuachana.
Ila sidhani kama atakuwa kama zamani!
Doa kubwa sana mpaka kutaka kufungana?
Nikiangalia walivyokuwa na manjonjo wenyewe...
aagh.. shetani kweli mbaya... tena kaanzia kwa mchungaji...... katambaa mpaka kwa mamaa na mwisho kaua kabisa ndoa!
Mbasha alikuwa hoi.... arudi kwa machale sana!
Kuifufua imani iliyokufa ni kazi!
....dah!.,dogo unakuwaga biti sana!Eti sio wa kudumu?! Kwendraaaaaaaa
Huyo mume nani ??