mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Na Mimi ni hivyo hivyo.Mbona kwangu haifunguki, simu yangu inapungukiwa nini kwenye link kama hizi. Nikiclik inanipeleka kwenye ukurasa wa jamii forum tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mimi ni hivyo hivyo.Mbona kwangu haifunguki, simu yangu inapungukiwa nini kwenye link kama hizi. Nikiclik inanipeleka kwenye ukurasa wa jamii forum tena
una kumbukumbu! 😃😃Hizi kauli ni chungu zenye ukweli
Wa kigamboni hata ile mbizi hatukuipigaga na maisha yanaendelea
Tumia Opera mini_Google ChromeMbona kwangu haifunguki, simu yangu inapungukiwa nini kwenye link kama hizi. Nikiclik inanipeleka kwenye ukurasa wa jamii forum tena
pole mkuu, jaribu kufungua kwa kutumia app ya JFMbona kwangu haifunguki, simu yangu inapungukiwa nini kwenye link kama hizi. Nikiclik inanipeleka kwenye ukurasa wa jamii forum tena
una kumbukumbu! 😃😃
MY GODHabari zenu wakulungwa wa JamiiForums
Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.
Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!
Hakika mitano tena.
View attachment 1712597
Madhara ya kutoandika hotuba.Kauli hizi sidhani kama zimehaririwa kabla
Unapata nafasi ya kuonana na Rais unaongea mambo mepesi mepesi.Kuna watu mafanikio yalianza baada ya kupata kuongea na Raisi.Yawezekana fika kawapotezea waliokuwa na masuala muhimu ya kuongea na Raisi
Waaalaaa hakuwa amemaliza alichokusudia kukisema, akakatizwa na kumwagiwa hilo DIVI na kuagwa!Unapata nafasi ya kuonana na Rais unaongea mambo mepesi mepesi.Kuna watu mafanikio yalianza baada ya kupata kuongea na Raisi.Yawezekana fika kawapotezea waliokuwa na masuala muhimu ya kuongea na Raisi
Akafungue kesi mahakamanijamaa amedhalilishwa
Habari zenu wakulungwa wa JamiiForums
Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.
Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!
Hakika mitano tena.
View attachment 1712597
Stop stressing over things you can't control or change. Overthinking leads to negative thoughts. Be grateful and focus on the positiveangemjibu polite ingependeza sana
(+ve optimism)Stop stressing over things you can't control or change. Overthinking leads to negative thoughts. Be grateful and focus on the positive
taasisi mashuhuri hii ndio uti wa mgongoTaasisi pendwa ya Tanroads haiongelewi vibaya. Ndio moja ya sababu ya jibu alilopewa. Na hata alichotaka kuongelea hakumalizia kukisema! Mtu asiye na hulka ya utulivu wa kusikiliza, hawezi kuwa na hekima!