Pole sana ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu ulilopewa na Rais

Pole sana ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu ulilopewa na Rais

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Taasisi pendwa ya Tanroads haiongelewi vibaya. Ndio moja ya sababu ya jibu alilopewa. Na hata alichotaka kuongelea hakumalizia kukisema! Mtu asiye na hulka ya utulivu wa kusikiliza, hawezi kuwa na hekima!
 
Habari zenu wakulungwa wa JamiiForums

Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.

Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!

Hakika mitano tena.

View attachment 1712597
angemjibu polite ingependeza sana
Stop stressing over things you can't control or change. Overthinking leads to negative thoughts. Be grateful and focus on the positive
 
Taasisi pendwa ya Tanroads haiongelewi vibaya. Ndio moja ya sababu ya jibu alilopewa. Na hata alichotaka kuongelea hakumalizia kukisema! Mtu asiye na hulka ya utulivu wa kusikiliza, hawezi kuwa na hekima!
taasisi mashuhuri hii ndio uti wa mgongo
 
Back
Top Bottom