KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
...Kuzungumzia bei kubwa ya mahala pa kujisaidia in Upuuzi???Kimaro ni mpuuzi kama wapuuuzi wengine
naona hadi huyu mlizi hapa mbele big kacheka akazuga kwa kukuna puaHabari zenu wakulungwa wa JamiiForums
Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.
Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!
Hakika mitano tena.
View attachment 1712597
Kimaro ni mpuuzi kama wapuuuzi wengine
Wacha weee....Kimaro ni mpuuzi kama wapuuuzi wengine
fanya kukazia maneno yakoπππKimaro ni mpuuzi kama wapuuuzi wengine
jibu alilopewa ni la watu takribani 50milTrump poleee sana
tutamsahau piaMagu tutamkumbuka.
Baki na mavi yako π€£π€£π€£π€£.
Mbezi hoyeeee, Kimaro kaduwaa "watu hoyeee"
Ashasahaulika.tutamsahau pia