tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Ila si unajua fashion desgners wengi wako mbali na uanaume?
Labda ts a matter of time, he ll come out of the closet....
Hiyo kampuni ni ile ya Le mutuz?
Na interests pia zinatofautiana!Kuku mgeni hakosi kamba mguuni.
nchi ina vituko hii, we acha tu! Yaani tangu uwepo wa Instagram maselebriti wanaongezeka kila uchao!
Le mutuz nae ni muajiriwa tu, ndio aliemtapeli bikira wa kisukuma milioni mbili za hiyo party
ndio maana bikira alikuwa akimtusi sana lemutuz?Le mutuz nae ni muajiriwa tu, ndio aliemtapeli bikira wa kisukuma milioni mbili za hiyo party
ndio maana bikira alikuwa akimtusi sana lemutuz?
- Hakuwa ananitusi alikuwa anajitusi mwenyewe, alikasirika kwa sababu alijua kukosana na mimi kumempotezea a big opportunity ya kucheza the game hapa mjini maana ukishagombana na mimi kila mwenye akili anaku note na kukuangalia kwa makini sana maana mimi mtu wa watu always, now comes this na huyu aliyemfukuza kazi ndiye aliyekuwa akimsifia sana kwenye Instagram yake, so jifunze ukitaka kufanya biashara za kujiajiri hapa mjini hugombani na watu kama mimi utaishia kujiumiza tu na public!!
- Alitaka tutayarishe tamasha pamoja, kabla sijampa his role akakosa subira akakimbilia Instagram kudai nimemuibia akaharibu mwenyewe, watu wote wanaonijua hapa mjini masiki kwa matajiri, viongozi kwa wananchi wanajua kwamba sijawahi kumuibia mtu, sasa leo kuja kumuibia huyu bwana mdogo how could that be true then comes this now what na huyu aliyemfukuza amemuonea?, au na yeye amemuibia?
Le Mutuz
- Hebu niwacheni bana siajiriwi na mtu hapa mjini, nina clients na nina ofisi yangu hapa Tancot House 2nd fl mara ya mwisho niliajiriwa USA sio hapa siajwahi ninafanya kazi zangu zinanipata mkate mojawapo ni matamasha, kama majuzi nimelifanya Arusha na kama kawa lilajaza sana maana ninakubalika sana na mabebezz na huwezi kufanya biashara ya matamasha kama hukubaliki na mabebezz kwanza, hahaha nicheni nipumzike bana!!
- Haya ya nani sijui hayanihusu kabisa!!
Le Mutuz[/QUOTE
Hehe le Mutuz..mtu ya watu
Niliwahi ona tena thread wanamuongelea bikra wa kisukuma but binafsi sijui huyo mtu ni nani na anafanya nini ndo maana nikauliza.
- Umeona enhee hahahahahaha ha
Le Mutuz
- Hakuwa ananitusi alikuwa anajitusi mwenyewe, alikasirika kwa sababu alijua kukosana na mimi kumempotezea a big opportunity ya kucheza the game hapa mjini maana ukishagombana na mimi kila mwenye akili anaku note na kukuangalia kwa makini sana maana mimi mtu wa watu always, now comes this na huyu aliyemfukuza kazi ndiye aliyekuwa akimsifia sana kwenye Instagram yake, so jifunze ukitaka kufanya biashara za kujiajiri hapa mjini hugombani na watu kama mimi utaishia kujiumiza tu na public!!
- Alitaka tutayarishe tamasha pamoja, kabla sijampa his role akakosa subira akakimbilia Instagram kudai nimemuibia akaharibu mwenyewe, watu wote wanaonijua hapa mjini masiki kwa matajiri, viongozi kwa wananchi wanajua kwamba sijawahi kumuibia mtu, sasa leo kuja kumuibia huyu bwana mdogo how could that be true then comes this now what na huyu aliyemfukuza amemuonea?, au na yeye amemuibia?
Le Mutuz
- Hebu niwacheni bana siajiriwi na mtu hapa mjini, nina clients na nina ofisi yangu hapa Tancot House 2nd fl mara ya mwisho niliajiriwa USA sio hapa siajwahi ninafanya kazi zangu zinanipata mkate mojawapo ni matamasha, kama majuzi nimelifanya Arusha na kama kawa lilajaza sana maana ninakubalika sana na mabebezz na huwezi kufanya biashara ya matamasha kama hukubaliki na mabebezz kwanza, hahaha nicheni nipumzike bana!!
- Haya ya nani sijui hayanihusu kabisa!!
Le Mutuz