Pole sana Seth, Tulikuonya hukusikia

Pole sana Seth, Tulikuonya hukusikia

Mzee mmoja anaitwa le mutuz humu jf
Ahaa sasa imekujaje toka le mutuz mpaka le mbululaz?
Me nnavyoelewa mburula ni kama kashfa hivi.
Jamaa ni adui yako?
Kakufanya nini?
Au ndio "hamna sababu me simpendi basi tu"
 
Ahaa sasa imekujaje toka le mutuz mpaka le mbululaz?
Me nnavyoelewa mburula ni kama kashfa hivi.
Jamaa ni adui yako?
Kakufanya nini?
Au ndio "hamna sababu me simpendi basi tu"

Huo ni usemi wke yeye anapenda kuita wenzie le mbululaz
 
Kama sio uboya na ukuda ni nini Mwanaume mzima unajiita Bikira kifala.
 
Aaah kumbe huyu mchizi,msela wangu sana wa kitaa enzi hizo mitaa ya changanyikeni miaka hiyo nampata sana huyu jamaa
 
Ila si unajua fashion desgners wengi wako mbali na uanaume?

Labda ts a matter of time, he ll come out of the closet....

Mkuu. Najikuta nakubaliana na wewe . Manake kuna kipindi nimekuwa nakifuatilia DSTv kinaitwa "THE TALK."
hasa kipindi hiki cha karibuni kulipokuwa na majadiliano ya celebrities waliovalia vizuri kwenye Oscar. Na kingine kwenye channel ya fashion. Hawa ma-designer wa kiume ni kama mashoga kwakweli. Kuna mchangiaji mmoja amekaa na kundi la wanawake. The way anavyo ongea unajikuta kuu-question uanaume wake. Kwanza anapo pass remark huwa hajui kukosoa. Ni kusifia tu, lakini as if ni msichana anamsifia boyfriend wake.
 
Unajulikana ili upate connections. Maadamu keshajulikana connection sio issue. Unaenda tu kwenye makampuni unasema bwana mie flani niliandaa party flani unaondoka na mpungaa wako.
Kirahisi hivyo?
 
Nakubali mia kwa mia kwamba kujulikana ni one step forward katika kupata connections lakini kuna mambo mengine ya msingi zaidi unatakiwa kuwa nayo! Back up team ina mchango mkubwa zaidi kuliko huko kujulikana! Na kama unajulikana juu juu tu... unaweza kukuta ni kweli michongo unapata lakini over 90% unarudisha kule kule kwa wale wale waliokupa mchongo coz' umefahamiana nao ukubwani kwahiyo hawakuonei aibu na wala hauna back up team ya wao kuweza kuionea aibu ambayo labda kinyume chake huenda mngeenda pasu kwa pasu... au labda, uwe na uwezo wa ku-generate more than too much to the point kwamba, hata kama utabaki na 5% bado ina uwezo wa kunenepesha account!

But all in all, ikiwa ana uthubutu wa kutosha, nothing is impossible! Marehemu Profesa Shayo (RIP) aliwahi kupiga kampeni za kuwania Urais wa JMT kwa kutumia Mark II yake utafikiri alikuwa anatangaza ujio wa sabuni mpya mjini!!!!!

Mfano Saida Karoli alijulikana lakini kamba ilipokatwa, ni sheeeeda!
 
Back
Top Bottom