Nakubali mia kwa mia kwamba kujulikana ni one step forward katika kupata connections lakini kuna mambo mengine ya msingi zaidi unatakiwa kuwa nayo! Back up team ina mchango mkubwa zaidi kuliko huko kujulikana! Na kama unajulikana juu juu tu... unaweza kukuta ni kweli michongo unapata lakini over 90% unarudisha kule kule kwa wale wale waliokupa mchongo coz' umefahamiana nao ukubwani kwahiyo hawakuonei aibu na wala hauna back up team ya wao kuweza kuionea aibu ambayo labda kinyume chake huenda mngeenda pasu kwa pasu... au labda, uwe na uwezo wa ku-generate more than too much to the point kwamba, hata kama utabaki na 5% bado ina uwezo wa kunenepesha account!
But all in all, ikiwa ana uthubutu wa kutosha, nothing is impossible! Marehemu Profesa Shayo (RIP) aliwahi kupiga kampeni za kuwania Urais wa JMT kwa kutumia Mark II yake utafikiri alikuwa anatangaza ujio wa sabuni mpya mjini!!!!!