Poleni kwa mafuriko majirani, ila Afrika bado sana kwenye miundo mbinu

Poleni kwa mafuriko majirani, ila Afrika bado sana kwenye miundo mbinu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Yaani reli imesombwa na mafuriko na kuharibiwa kilomita 100, hasara ya milioni mia moja kwa siku kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu.

 
Infrastructure yenyewe ndio mbaya. Wanajenga kadaraja kadogo halafu mafuriko yakitokea kadaraja kanabebwa. Ndio maana sisi tuliamua kujenga class A. Yaani reli inapitia juu kwa juu. Geza alikuwa anacheka reli yetu eti ni expensive sana lakini leo Wabongo watajua kuwa cheap is expensive. Geza Ulole. joto la jiwe
 
Infrastructure yenyewe ndio mbaya. Wanajenga kadaraja kadogo halafu mafuriko yakitokea kadaraja kanabebwa. Ndio maana sisi tuliamua kujenga class A. Yaani reli inapitia juu kwa juu. Geza alikuwa anacheka reli yetu eti ni expensive sana lakini leo Wabongo watajua kuwa cheap is expensive. Geza Ulole. joto la jiwe
Hii ni Narrow Gauge Rail ya mkoloni! Upper level kulikuwa na dams before zilizo-manage waterflowrate ila siltation imejaza dams na mchanga! All in all kuna plans za kuihamisha milimani kuhepa floods!
 
Nimeona katika vyombo mbalimbali vya habari kuwa nchi ya Africa Equatorial Guinea imetoa msaada wa $2M kwa China kupambana na Corona Virus inayoitesa China!

Haraka sana nikatafakari nchi tajiri chini ya jemedari John Pombe Magufuli inapitwa kweli na kanchi kadogo kama Equatorial Guinea?

Chini ya Magufuli aliyetengeneza TZ inayochuruzika maziwa na asali kila pembe kiasi cha wananchi kuvimbiwa kweli imeshindwa kutoa msaada kwa china?

Magufuli baba, uliitangaza hii nchi ni 'dona kantre', usikubali kupitwa na Equatorial Guinea hebu imwagie China msaada ipambane na Korona. joto la jiwe
 
Nimeona katika vyombo mbalimbali vya habari kuwa nchi ya Africa Equatorial Guinea imetoa msaada wa $2M kwa China kupambana na Corona Virus inayoitesa China!

Haraka sana nikatafakari nchi tajiri chini ya jemedari John Pombe Magufuli inapitwa kweli na kanchi kadogo kama Equatorial Guinea?

Chini ya Magufuli aliyetengeneza TZ inayochuruzika maziwa na asali kila pembe kiasi cha wananchi kuvimbiwa kweli imeshindwa kutoa msaada kwa china?

Magufuli baba, uliitangaza hii nchi ni 'dona kantre', usikubali kupitwa na Equatorial Guinea hebu imwagie China msaada ipambane na Korona. joto la jiwe
Tena huaga wanapenda kujishau sana, eti wao na china ni marafiki..
Lkn sai nashangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni Narrow Gauge Rail ya mkoloni! Upper level kulikuwa na dams before zilizo-manage waterflowrate ila siltation imejaza dams na mchanga! All in all kuna plans za kuihamisha milimani kuhepa floods!
Easier said than done
 
Hiyo ni reli ya mkoloni inazaidi ya miaka 100 sio mpya.Mpya inapiata milimani ndio maana tunnel zipo karibu nne maeneo hayo.Acheni kupotosha nadhana Geza ameshawaambia.
 
Nyang'au bado wana hasira ya kunyukwa viboko na mchina.
Wabongo buana, yaani wachina wawili wanachapa kijiji kizima kungfu hadi wanakijiji wanafikia maamuzi ya kuhama? [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wabongo buana, yaani wachina wawili wanachapa kijiji kizima kungfu hadi wanakijiji wanafikia maamuzi ya kuhama? [emoji38][emoji38][emoji38]

Hehehe hizi taarifa za wao kupigwa kungfu zilikomesha kiherehere walichokua nacho kwa siku mbili.
Sasa wameingia mitini na kukaa kimya.
 
Nimeona katika vyombo mbalimbali vya habari kuwa nchi ya Africa Equatorial Guinea imetoa msaada wa $2M kwa China kupambana na Corona Virus inayoitesa China!

Haraka sana nikatafakari nchi tajiri chini ya jemedari John Pombe Magufuli inapitwa kweli na kanchi kadogo kama Equatorial Guinea?

Chini ya Magufuli aliyetengeneza TZ inayochuruzika maziwa na asali kila pembe kiasi cha wananchi kuvimbiwa kweli imeshindwa kutoa msaada kwa china?

Magufuli baba, uliitangaza hii nchi ni 'dona kantre', usikubali kupitwa na Equatorial Guinea hebu imwagie China msaada ipambane na Korona. joto la jiwe
Unaweza kumbusha ni lini alisema "nchi hii ni dona kantre" na siku aliposema "nchi hii ni ya asali na maziwa". Ambacho huwa anasema na wala hakina ubishi ni kuwa " nchi hii inapaswa kuwa dona kantre" kitu ambacho kwa mwendo huu kitatimia.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nanyi poleni kwa nzige wa jangwani

Halafu hili la nzige mumekua mkichekelea Wakenya, nimeona wamekatiza na kuja huko....
Ni kosa sana kuchekelea majanga kwa jirani bila kufahamu yanaweza yakakukuta.
 
Back
Top Bottom