Poleni kwa mafuriko majirani, ila Afrika bado sana kwenye miundo mbinu

Poleni kwa mafuriko majirani, ila Afrika bado sana kwenye miundo mbinu

Hehehe hizi taarifa za wao kupigwa kungfu zilikomesha kiherehere walichokua nacho kwa siku mbili.
Sasa wameingia mitini na kukaa kimya.
Ndio kawaida yao, wakiona presha imezidi huwa wanazamia kusikojulikana. Ila najua kwa uhakika kwamba popote walipo wanafatilia habari kutoka kwa media za Kenya kwa umakini wa hali ya juu.
 
Halafu hili la nzige mumekua mkichekelea Wakenya, nimeona wamekatiza na kuja huko....
Ni kosa sana kuchekelea majanga kwa jirani bila kufahamu yanaweza yakakukuta.
Baadhi ya hawa watu ni washamba kupindukia. Nzige wenyewe walitoka Yemen na Saudia kabla ya kufika Afrika Eritrea, Djibouti, Ethiopia kisha wakaingia Somalia na Kenya. Sasaa hivi wamefika hadi Oman na Pakistan. Nchini Kenya ndege kutoka kwa KDF zimetumika, alafu na zingine zikakodishwa na za ziada zikatoka kwa shirika husika la AU. Ila bado uvamizi unaendelea, madawa ya kupuliza nayo hayapatikani
kwa urahisi kwasababu hayakuwa kwenye stock. Kenya haijapatwa na janga kama hili kwa miaka 70! Ethiopia, Eritrea Djibouti na Somalia nao kwa miaka 25. Pakistan and Somalia have declared national emergencies. Kwasababu ya nzige!
 
Wangekua wakufika tz wangekua washafika muda Anko... Hao hali ya hewa ya bongo sio rafiki kwao wao wanapenda ujangwa jangwa tuu so subirien wamalize tuvyakula twenu huto kidogo afu waelekee Uganda hahahahah
Halafu hili la nzige mumekua mkichekelea Wakenya, nimeona wamekatiza na kuja huko....
Ni kosa sana kuchekelea majanga kwa jirani bila kufahamu yanaweza yakakukuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anko unajua hiyo reli ya mwaka gani au imejengwa mwaka gani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwaka sio tatizo, la msingi ni kwamba mnaitumia na kuitegemea na inasombwa na mafuriko kizembe zembe na kusababisha hasara ya mabilioni, inaonyesha mlivyo wazembe kwa kushindwa kufanyia stability kitu mliachiwa na mkoloni enzi za mababu zenu.
 
Halafu hili la nzige mumekua mkichekelea Wakenya, nimeona wamekatiza na kuja huko....
Ni kosa sana kuchekelea majanga kwa jirani bila kufahamu yanaweza yakakukuta.
Mbona lugha iliyo tumika ni rafiki ya kutoa pole kwa jirani au kosa lipo wapi
 
Ni kweli nchi yetu kwa rasilimali tulizonazo, tukizisimamia vizuri kwa nidhamu ya Juu ya kijeshi, basi tutatoboa! Tatizo ni mabeberu tu.....
 
Nimeona katika vyombo mbalimbali vya habari kuwa nchi ya Africa Equatorial Guinea imetoa msaada wa $2M kwa China kupambana na Corona Virus inayoitesa China!

Haraka sana nikatafakari nchi tajiri chini ya jemedari John Pombe Magufuli inapitwa kweli na kanchi kadogo kama Equatorial Guinea?

Chini ya Magufuli aliyetengeneza TZ inayochuruzika maziwa na asali kila pembe kiasi cha wananchi kuvimbiwa kweli imeshindwa kutoa msaada kwa china?

Magufuli baba, uliitangaza hii nchi ni 'dona kantre', usikubali kupitwa na Equatorial Guinea hebu imwagie China msaada ipambane na Korona. joto la jiwe
Wa jamaa kwa mipasho uko vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka sio tatizo, la msingi ni kwamba mnaitumia na kuitegemea na inasombwa na mafuriko kizembe zembe na kusababisha hasara ya mabilioni, inaonyesha mlivyo wazembe kwa kushindwa kufanyia stability kitu mliachiwa na mkoloni enzi za mababu zenu.
Na nyie ni wazembe zaidi mnaangukiwa na maghorofa Nairobi bila tetemeko.
 

Hapa hutowaona
kilometers zaidi ya 100 zimesombwa na mafuriko, haijapata week tayari milima imechorongwa, madaraja yamejengwa, tuta jipya limetengenezwa, reli imesukwa trains za mizigo zinapita

Wao gari lilidumbukia tu kwenye ufukwe mfupi lakini iliwachukua miezi kuliopoa 😂😂😂
 
Hapa hutowaona
kilometers zaidi ya 100 zimesombwa na mafuriko, haijapata week tayari milima imechorongwa, madaraja yamejengwa, tuta jipya limetengenezwa, reli imesukwa trains za mizigo zinapita

Wao gari lilidumbukia tu kwenye ufukwe mfupi lakini iliwachukua miezi kuliopoa 😂😂😂
Huyu mjinga alifungua huu uzi kinafiki ili atupe updates ya kilichotokea lakini cha ajabu hatupi tena updates sasa hivi 😂😂😂
Nilitegemea labda angeendelea kutupa updates mbalimbali lakini ameukimbia uzi wake baada ya kuona hapa ni kazi tu.
 
Hapa hutowaona
kilometers zaidi ya 100 zimesombwa na mafuriko, haijapata week tayari milima imechorongwa, madaraja yamejengwa, tuta jipya limetengenezwa, reli imesukwa trains za mizigo zinapita

Wao gari lilidumbukia tu kwenye ufukwe mfupi lakini iliwachukua miezi kuliopoa 😂😂😂

Kwanza nilijua hili mlitatua kitambo, hata nikausahau uzi nikidhani mumeshalifanyia kazi maana mkuregenzi alisema mnakwenda hasara ya milioni mia kwa siku, nimeshangaa sana leo ndio mnaibuka kusema limetatuliwa, Afrika bado sana haswa kama nchi ni maskini kama ilivyo yenu.
Halafu naona kwa video wanasema ni temporally tu ili kufungua njia, yaani kazi bado ipo, dah poleni ila umaskini ni laana, tatizo sijui huwa mnakwama wapi ilhali mna kila kitu, mlipaswa kuwa taifa la pili au tatu kwa utajiri Afrika, sema hupewi vyote, ubongo na raslimali, lazima unyimwe moja.
Kwetu hapa hatuna madini wala ardhi lakini tunawazidi mara mbili kiuchumi.
Tazama video jamaa wanasema ni temporally , siku zote hizo bado mnaongea mambo ya temporally .

 
Huyu mjinga alifungua huu uzi kinafiki ili atupe updates ya kilichotokea lakini cha ajabu hatupi tena updates sasa hivi 😂😂😂
Nilitegemea labda angeendelea kutupa updates mbalimbali lakini ameukimbia uzi wake baada ya kuona hapa ni kazi tu.
LOL halafu alifikiri ni sgr ndio ilizombwa na maji
 
Kwanza nilijua hili mlitatua kitambo, hata nikausahau uzi nikidhani mumeshalifanyia kazi maana mkuregenzi alisema mnakwenda hasara ya milioni mia kwa siku, nimeshangaa sana leo ndio mnaibuka kusema limetatuliwa, Afrika bado sana haswa kama nchi ni maskini kama ilivyo yenu.
Halafu naona kwa video wanasema ni temporally tu ili kufungua njia, yaani kazi bado ipo, dah poleni ila umaskini ni laana, tatizo sijui huwa mnakwama wapi ilhali mna kila kitu, mlipaswa kuwa taifa la pili au tatu kwa utajiri Afrika, sema hupewi vyote, ubongo na raslimali, lazima unyimwe moja.
Kwetu hapa hatuna madini wala ardhi lakini tunawazidi mara mbili kiuchumi.
Tazama video jamaa wanasema ni temporally , siku zote hizo bado mnaongea mambo ya temporally .


Umeongea mashudu mengi kichizi


Umasikini wenu umetia fora
images - 2020-02-22T130522.464.jpeg
images (99).jpeg
 
Back
Top Bottom