Poleni kwa mafuriko majirani, ila Afrika bado sana kwenye miundo mbinu

Poleni kwa mafuriko majirani, ila Afrika bado sana kwenye miundo mbinu

Umeongea mashudu mengi kichizi


Umasikini wenu umetia fora View attachment 1367887View attachment 1367888

Cha msingi umeipata pointi yangu, hasara milioni mia kwa siku halafu kwa mlivyo wazembe mumeachia siku zote hizo zimeenda, nimeshangaa sana eti leo ndio mnasema mumefanya kidogo ya kuachia treni zipite tu. UCCM ukikuingia inakua kama ukichaa fulani hivi.
 
Cha msingi umeipata pointi yangu, hasara milioni mia kwa siku halafu kwa mlivyo wazembe mumeachia siku zote hizo zimeenda, nimeshangaa sana eti leo ndio mnasema mumefanya kidogo ya kuachia treni zipite tu. UCCM ukikuingia inakua kama ukichaa fulani hivi.
LOL distance ya Nairobi to Naivasha hiyo, kujengwa upya kwa weeks mbili unaona ni kitu kidogo?

Ninyi kwanza mna route ipi ya meter gage inayowaingizia million 100 kwa siku ukiachana na sgr ya mchina?
 
LOL distance ya Nairobi to Naivasha hiyo, kujengwa upya kwa weeks mbili unaona ni kitu kidogo?

Ninyi kwanza mna route ipi ya meter gage inayowaingizia million 100 kwa siku ukiachana na sgr ya mchina?

Meter gauge yetu ilikua inaingiza hela mara tano yenu, ila leo tunapaa kwa SGR wakati nyie bado mnatafuta mikopo ya gharama kuendelea kuchimba chimba.
 
Back
Top Bottom