PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Kwanini mkuu?We sijui wa wapi
Asikudanganye Mtu Suala Ni Maslahi Tu Mkuu - Fiesta Hailipi Ndo Maana WCB Ni Kama Hawaitaki, Raymond Anafanya Kwa Kuwa Bado Ni Msanii Mpya Anajenga Jina Kwanza,yaani Hata Kama Ingekuwa Bure Angefanya.Kule Mtwara Harmonise Alienda Kwakuwa Ni Kwao Na Tena Ni Baada Ya Kushawishiwa Na Kina Soudy Wa Shilawadu.Ndio Maana Kina Mavoko Wana Mambo Yao Tu Mengine.Ukitaka Kujua Suala La Mkataba Na Voda Ni Kisingizio Tu.Diammd Ana Show Ya Zantel Zanzibar Na Atafanya.Usiwaone Wasanii Ngoma Zinapigwa Wee Wanapewa Misifa Kibao,faida Yake Ni Kupewa Sifa Na Kihela Mbuzi Cha Show.Njaa KaliiHao wameneja sijui kina nani hao wa diamond ni wapuuzi na diamond mwenyewe utakubalije kufunga mkataba wa kipuuzi namna hiyo ime kuwa ndoa ya kikristo et mtaandamana hadi kifo kitakapo watenganisha wajifunze siku nyingine.
Au tamaa ya pesa nyingi?
Unakuja na story zako za kikudaKwanini mkuu?
....pesaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa babaaaa sabuni ya rooooooooohhhhhhooooo...jammaaaa UNA AMBIWA ANAVUNA NOTI ZA ADABU KWENYE HUO MKATABA ASEEEEEEWE WEWE PITA KUSHOTO TUUU ASEEEEEEHao wameneja sijui kina nani hao wa diamond ni wapuuzi na diamond mwenyewe utakubalije kufunga mkataba wa kipuuzi namna hiyo ime kuwa ndoa ya kikristo et mtaandamana hadi kifo kitakapo watenganisha wajifunze siku nyingine.
Au tamaa ya pesa nyingi?
Pole ya nn sas hapo!!!!! Kwan mond kapga show ngap toka ameanza gameIle show kabambe ambayo wakutanisha wasanii kibao pale stejini(FIESTA).inafanyika muda si mrefu hapa Tz,lakini katika hali ya kuudhi na kuhuzunisha ni kwamba msanii Diamond hatokwepo kabisa,sababu ni kwamba MOND ni balozi wa vodacom.sasa akiwa kama balozi wa voda ni hawezi kwenda kwenye show iliyoandaliwa na Tigo.
Pole sana mtu wa Diamond maaana hapo ni kwamba Kiba atajiachia sana ,pale ambapo Kiba atakuwa anajiachia na kushangiliwa basi team mond watanuna na kuvimba,poleni sana,watu tusio na team ni full kuenjoy maana tunaangalia muziki mzuri na sio msanii[emoji2]
mwenzangu diamond ana msafara wa hatari.Mond yuko juu asee sio kwa msafara ule kule malawi!
hongera kwa kutoa ajira kwa vijana wengi kiasi kile!!
Jezi zao ni insta ,fb,na jfHivi hizi team mnazosema za kina kiba na diamond jezi zake naweza kupata wapi? Maana huku polini kwetu naweza Pata pesa nyingi sana
nimemuelewa sana mkuu! yuko social sana wale wamalawi wanavyojiachia na selfmwenzangu diamond ana msafara wa hatari.
mond ni celeb wa kweli maana kila kitu chake kiko undercontrol kama president..
bongo hakuna celeb mwingine..
halafu sio mbinafsi anaheshimu wote, anawapenda anaishi nao kama ndugu zake..
hio ndo tabia nzuri ya diamond kuliko zote.
tofauti na mastar wengine, juzi imekuja kesi davido hajalipa madansa wake halafu nasikia naija hawathamini kabisa madansa
Basi nikawa napitia comments za wakenya wanajisifia kinoma ile ndege yao aliyotumia mpaka wanakeramwenzangu diamond ana msafara wa hatari.
mond ni celeb wa kweli maana kila kitu chake kiko undercontrol kama president..
bongo hakuna celeb mwingine..
halafu sio mbinafsi anaheshimu wote, anawapenda anaishi nao kama ndugu zake..
hio ndo tabia nzuri ya diamond kuliko zote.
tofauti na mastar wengine, juzi imekuja kesi davido hajalipa madansaliyotumiaa wake halafu nasikia naija hawathamini kabisa madansa
achana na hizo timu wewe endelea kulima huko polini! unataka huku mjini tukose chakula? msimu wa mvua unakaribia....😀😀Hivi hizi team mnazosema za kina kiba na diamond jezi zake naweza kupata wapi? Maana huku polini kwetu naweza Pata pesa nyingi sana
elfu 20Kwani fiesta shi ngapi?
Teee teeeelfu 20