Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Nime sikitishwa sana na adhabu ya kuzima mitambo na kutofanya biashara kwa muda wa siku saba yaani wiki moja kwa kile kilicho elezwa kuwa mlitangaza habari za kweli lakini hamkuwa na mamlaka ya kutangaza. Poleni sana. Habari zile zili tangazwa na vyombo vingine na mitandao ya kijamii na zilitoka kwa watu sahihi. Mpaka sasa walio wafungia hawaja sema kama mlitangaza habari za uwongo.
Adhabu mliyo pewa mkumbuke maneno ya Lissu kuwa hampaswi kushangilia mwingine anapo umizwa kwa kuwa mtesi akisha wamaliza wale anao waumiza atakuja na kwenu pia.
Adhabu mliyo pewa ina waathiri wafanyakazi, wateja wenu ambao ni watazamaji na wasikilizaji. wafanya biashara wanao fanya biashara na ninyi, serikali kukosa kodi kwakuwa hamuwezi kulipa kwa mfano PAYE ya wafanyakazi kwa mwezi wakati hawaja zalisha hivo lazima mkalukuleti kuondoa kodi ya wiki moja na kukosa mapato kutoka kwenye makapuni, kuongezeka kwa gharama bila uzalishaji mfano kulipa umeme, mishahara, kodi nk wakati hamzalishi.
Ni wakati sasa wa vyombo vyote vya habari kujifunza kuwa hakuna aliye salama zaidi ya TBC, UHURU, DAILY NEWS, CHANNEL 10 na vyote vinavyo milikiwa na chama tawala na serikali. Wengine wote mkumbuke mko katika mtego wa panya kuingia waliomo na wasio kuwemo. Kisa hiki wengi hawakijui lakini kinaelezea vizuri haya yaliyo wapata.
Poleni sana na tume wa miss sana.
Adhabu mliyo pewa mkumbuke maneno ya Lissu kuwa hampaswi kushangilia mwingine anapo umizwa kwa kuwa mtesi akisha wamaliza wale anao waumiza atakuja na kwenu pia.
Adhabu mliyo pewa ina waathiri wafanyakazi, wateja wenu ambao ni watazamaji na wasikilizaji. wafanya biashara wanao fanya biashara na ninyi, serikali kukosa kodi kwakuwa hamuwezi kulipa kwa mfano PAYE ya wafanyakazi kwa mwezi wakati hawaja zalisha hivo lazima mkalukuleti kuondoa kodi ya wiki moja na kukosa mapato kutoka kwenye makapuni, kuongezeka kwa gharama bila uzalishaji mfano kulipa umeme, mishahara, kodi nk wakati hamzalishi.
Ni wakati sasa wa vyombo vyote vya habari kujifunza kuwa hakuna aliye salama zaidi ya TBC, UHURU, DAILY NEWS, CHANNEL 10 na vyote vinavyo milikiwa na chama tawala na serikali. Wengine wote mkumbuke mko katika mtego wa panya kuingia waliomo na wasio kuwemo. Kisa hiki wengi hawakijui lakini kinaelezea vizuri haya yaliyo wapata.
Poleni sana na tume wa miss sana.