Mchizi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 2,886
- 7,000
Ndio mlichobakiza .Awamu ya 5 ukabila ndio mmeona dira.Mlianza ooh CHADEMA wakaskazini,mkaja wachaga sasa mmeanza Wamarangu.Msituletee mambo yenu ya Rwanda huko.Wabaki Wamarangu + Machame tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mlichobakiza .Awamu ya 5 ukabila ndio mmeona dira.Mlianza ooh CHADEMA wakaskazini,mkaja wachaga sasa mmeanza Wamarangu.Msituletee mambo yenu ya Rwanda huko.Wabaki Wamarangu + Machame tu!
kufahamiana kunahusiana nini na hoja hii?Hana lolote , namjua kuliko unavyodhani , njaa mpaka machoni
Hivi kumbe Akwilina naye alikuwa mwanachadema?Kwani akina Mawazo na Akwilina waliuawa enzi za JK??
Sijaelewa baba wa Taifa wa chadema?? Ndio unamaanisha Nini hapaBaba wa taifa wa chedema ni Mbowe mpende msipende
Chadema ni watu walioamua kusakatonge nje ya CCMGreat thinkers!
Hii ni thread kwa ajili ya wana CHADEMA asili waliomwaga damu na kuipigania.
Naamini mmeshagundua utapeli katika Chama hiki chini ya Mwenyekiti wake.
Maoni yangu yana base kabla hata Kubenea hajaingia Chadema...tuliza mzuka unisome vyema...mimi sio mtu wa kufuata mafuriko
Rubbish.......
Tambua mkuu Meningitis, waliomwaga damu katika Chadema, wamefanya hivyo kutokana na udikteta wa Mwenyekiti wako Jiwe......
Kuna aliyemwaga damu zaidi ya Jiwe katika nchi hii??
Na huyo Lisu jeeee? Au damu yake iliyomwagika, ingehesabiwa kuwa ilimwagika kama lengo la KUMUUA lingetimia?Kwani akina Mawazo na Akwilina waliuawa enzi za JK??
Utaburuzwa mpaka lini?, amka huko mnakodanganywa kua demokrasia mnafanywa mitaji ya hao wachaga wachache wanaoleta ufalme na usultani kwasababu ya uroho wa madaraka yaoTutaendelea kumwaga damu chini ya Kamanda Mbowe,uovu mnaomfanyia Mbowe kupitia Kubenea na komu uko hadharani unajulikana