My Take
Naona serikali ya Samia imeanza kufanya mambo kama wachawi, inategea wamachinga wamelala, bila jicho la media inaenda kuvunja vibanda vyao
Huu siyo uungwana hata kidogo. Hawa watu walitoa shilingi elfu ishiriniishirini zao, mkawaahidi kufanya biashara popote, leo kwenda kuwavunjia usiku wa manane siyo uungwana hata kidogo.
Najua lengo ni kuondoa kumulikwa na jicho la wananchi kwenye operesheni yenu ya kikatili na pia ili wamachinga wasijimobilize kuresist ndiyo maana mbavamia usiku wa manane kimya kimya na kuwavunjia. Hii siyo heshima kabis kwa wananchi, this is wrong!