Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Ajira huto,,utaratibu huufuati na kwa bahati mbaya hata vyama vya upinzani haviwasaidii
Kwa hiyo ccm haina directory?inajiongoza kama mbuzi asiye na kamba!Kuwa CCM haina maana hautakuwa na mtizamo binafsi.
Mie nilizoe kuwa ukisikia machinga Basi ni yule anazunguka na bidhaa kidogo,pengine heleni,nguo mitumba nk.Lakini siku hizi unakuta machinga kajenga Banda kaweka bidhaa Kama Duka vile lakini naye Ni machingaNi TANZANIA pekee kila mtu hata mwenye uwezo anajiita machinga!
Kwa kilichofanyika wengi hawatapenda ila ukweli ni kwamba lililofanyika ni sahihi japo linaumiza kwa upande mmoja ila unapokuwa machinga kuna limit yake unakaa umachinga miaka ishirini ww mtaji wako huwa haukuwi?
Angalia wageni wanakwenda na kutoka airport wanapokelewa na vibanda huku wakijua Tz ni nchi ya uchumi wa kati hilo nalo ni sawa?
Mji lazima upangwe watu waishi kwa sheria na sio mazoea
Watakuja wa kulaumu ambao wao yawezekana ndio wawezeshaji wa hao machinga/ wanaowapa mizigo kwa kukwepa kodi ,na hili ndo kundi kubwa nyuma ya pazia
Nb;kupanga ni kuchagua miji yote Tz lazima isafishwe na ipangwe upya
20000 ndio izuie serikali kufanya Mambo yake? Waulize Kimara waliobomolewa nyumba zao
My Take
Naona serikali ya Samia imeanza kufanya mambo kama wachawi, inategea wamachinga wamelala, bila jicho la media inaenda kuvunja vibanda vyao
Huu siyo uungwana hata kidogo. Hawa watu walitoa shilingi elfu ishiriniishirini zao, mkawaahidi kufanya biashara popote, leo kwenda kuwavunjia usiku wa manane siyo uungwana hata kidogo.
Najua lengo ni kuondoa kumulikwa na jicho la wananchi kwenye operesheni yenu ya kikatili na pia ili wamachinga wasijimobilize kuresist ndiyo maana mbavamia usiku wa manane kimya kimya na kuwavunjia. Hii siyo heshima kabis kwa wananchi, this is wrong!
Machinga unaacha vitu bandani? Basi we sio machingakwa hiyo solution ni kuwavunjia usku wa manane na kuwaibia vitu vyao
Machinga anatembea na bidhaa zake,Sasa Mali zipi zimeibiwa?Kwa hili MAKALA namlaumu sana anatakiwa kufukuzwa maana kama wametoa mwezi halafu unavunja usku wa manane na mali za watu unachukua!
Mkuu wa mkoa aliambiwa na Rais watoeni kwa staha
kwako DADA UMMY sasa una la kuongea sema na wewe TUKUSKIE au CCM ni ileile
Machinga Complex mbona ipo miaka mingiInasikitisha sana, watafutiwe maeneo rasmi wakafanyie biashara huko,na waliohusika kuvunja ikionekana hawakutenda kwa mujibu wa sheria wawajibishwe..
Umesahau enzi za Mkwere akisafiri nje tu huku nyuma linafanyika tukioMbona naona kama vile wamengoja awe nje ya nchi ndio wafanye ubabe wao na lawama zimshukie yeye!!!!!
Hivi unajua maana ya demokrasia?Kwa hiyo ccm haina directory?inajiongoza kama mbuzi asiye na kamba!
Kuna mijitu ikihemkwa haina hata muda wa kutafakari. Yanaweza kuhamaki na kitu ambacho wala hayajelewa. Haya tunayaita mabongolala.mara nyingi hatuyasaidii, unayaacha kama yalivyo.Unayajulisha tu kuwa ni mabongolala.Kwanini uwavunjia unataka wakafe maana hao sio matajiri sasa kama kila kitu kimevunjwa
Wanaishi je? Inamaana wewe unakaa upande wa serikali utakuwa unashida kwenye ubongo
Au umepata uteuzi ndo maana unapopo yaani unaropoka ropoka sana!
Kwani hilo eneo linawafanya nini
Machinga walikuwa wanajipatia maisha yao bila shida
Subiri haya majimbo yote ya majiji na mijini yote niya upinzani
Ccm inarudi kule kule unatesa wananchi kisa umerithi urais kwa kufa rais waliomtegemea
Unataka kuniambia kuwa matajiri wanao iendesha serikali ndio wataiweka madarakani
Hao wamachinga ndio watanzania wengi tajiri huwezi mkuta huko mamalishe na machinga ndio wanateseka
Kwa hiyo malipo ni hapa hapa Duniani sio?wamachinga walitumika sana kumtuka Lisu na upinzani kwa ujumla....walimuona mwendazake na makonda kama masihi wao.
Unaomboleza wewe na nani?huyu yupo kuzimuTena Koma kama u
Tena koma kabisa kumtaja JPM hiyo ni habari nyingine nyie endeeni na mambo yenu wakati sisi tukiomboleza!