Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,357
- 1,596
Leo ulikuwa mchezo wa marudio kati ya simba ya tanzania na TP MAZEMBE ya congo.
Simba imeshuhudia kichapo kwa lugha nyingine kipigo cha magoli manne kwa moja,
Jiji la dar limezima,Tanzania leo bar zote zimefungwa,watanzania wana maumivu ya kichapo,ndoto za anko magu zimeishia njiani.
Tuchukue muda huu kutoa pole kwa wana simba na watanzania walio na mwaumivu ya kichapo cha leo..
HAPANA CHEZEA MUTU YA CONGO
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba imeshuhudia kichapo kwa lugha nyingine kipigo cha magoli manne kwa moja,
Jiji la dar limezima,Tanzania leo bar zote zimefungwa,watanzania wana maumivu ya kichapo,ndoto za anko magu zimeishia njiani.
Tuchukue muda huu kutoa pole kwa wana simba na watanzania walio na mwaumivu ya kichapo cha leo..
HAPANA CHEZEA MUTU YA CONGO
Sent using Jamii Forums mobile app