Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,084
Shule 10 za mwisho zimetoka GEITA kwa Mobutu Seseseko.Poleni sana kusini, nadhani NECT wamechangia kwa kutozitaja shule kumi za mwisho kama ilivyozoeleka watu wakaamua kutengeneza zao..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule 10 za mwisho zimetoka GEITA kwa Mobutu Seseseko.Poleni sana kusini, nadhani NECT wamechangia kwa kutozitaja shule kumi za mwisho kama ilivyozoeleka watu wakaamua kutengeneza zao..
Rudia Comment yako kisha nilichokujibu zen oanisha ulichoandika utaona unapokwamaUnataka utafiti gani ?
Kama utafiti angalia shule 10 za mwsho kwa miaka 10 mfululizo angalia zinatoka mkoa gani?
Nadhani huo ni utafiti tosha kbsa
wapi ni kugumu kumpata mwanamke?!!!Mti wenye matunda ndio unaotupiwa mawe,
Kagera, Kilimanjaro, Mbeya, Hawa wakishinda, hatushangai ni desturi yao enzi na enzi,
Mtwara na Lindi ni ishu nyingine, Elimu Haina kipaumbele, lazima tuwaseme tu, Ili wabadilike kama tunavyowasema Wahaya ni Malaya,
Wasukuma ni washamba, Wachaga wanaweza kukutoa roho kwa ajili ya pesa, Lindi na Mtwara wanapenda uvivu na ngono.
Wewe jamaa hujaishi Kusini bado,huko wanathsmini unyago kwa na mabinti kuriko Elimu.
Nenda Masasi,kupata mwanamke ni rahisi Kama kukutana na mmachinga Kariakoo.
Tunawasema Ili wabadirike