Poleni wanaume

Poleni wanaume

Wanaume siku hizi mapenzi yanawapelekesha mmevurugwa, kutwa kuchwa munawaandama wadada mara singo maza mara bikira mara ombaomba mara haki sawa

Kaka zangu nawapa pole sana hakika mnachanganyikiwa juu yetu

Ex wangu niliambiwa nusu apate kichaa baada ya kuachana na mimi alikesha baa alilelawa mno akanilaani sana…akatafutiwa mwanasaikolojiaaaa akapigishwa somo akakaa fresh

Nasemaje kuachana kwetu yeye alichangiaa kwaiyo sijamuonea huruma

Nyie wanaume tunawapenda ila maneno ya mtandaoni yanawapotezaa hamueleweki mnataka wife ama matrakooo

Bye[emoji23]
Bila shaka ni umeleta ushuhuda tuone namna gani vile aliyekuwa mwanaume wako amepitia baada ya kumuacha na kutaka kutuaminisha kuwa wewe ni mwanamke wa shoka.

Ngoja nikupe hongera kwa hatua uliyopiga ingawa sijaona hiyo pole uliyotoa inahusiana vipi na wanaume wa JF.
 
When a woman's head is empty, her vagina always suffers. Utaishia kutumika tu leo umeachana na huyo kesho mwingine atakulala utaachika tena. Wewe ni malaya

Naachika mimi au wewe

Yaa mimi malaya naweza pia kuwa mama ako hapo baadae
 
Bila shaka ni umeleta ushuhuda tuone namna gani vile aliyekuwa mwanaume wako amepitia baada ya kumuacha na kutaka kutuaminisha kuwa wewe ni mwanamke wa shoka.

Ngoja nikupe hongera kwa hatua uliyopiga ingawa sijaona hiyo pole uliyotoa inahusiana vipi na wanaume wa JF.

Muache kulialia
 
Back
Top Bottom